Genuine raf
JF-Expert Member
- Jun 17, 2022
- 673
- 1,804
Sawa kaka tutaendelea kuhudhuria mikando mipya😂😂😂😂Hahhhh kaka imekuandikia not selected aseeeh baba jeni bye bye hapo umeyaaga mashindano na mwendo umeumaliza
😂😂😂Nakuzingua bhna hizo status hazina maanaSawa kaka tutaendelea kuhudhuria mikando mipya😂
Imebadilika ni selected for null😂😂😂😂😂Hahhhh afu wewe sindo imekuandikia not selected ,hapo tunasema baba jeni bye bye😂
Prok Wewe si umefanya mda na lga interview hebu tupe nondo zake maana huu mfumo wa kuuliza mswali ya kitaasisi yanatesa SanaGood booyyyy
😂😂😂😂Hapo sasa uhakika kacheki kwenye web imebadilikaje?Imebadilika ni selected for null
Kule ni selected for oral mamaee😂😂😂😂Hapo sasa uhakika kacheki kwenye web imebadilikaje?
Nadhani mfumo wa sasa wa maswali kwa mwaka huu interview nilizohudhuria kama sio technical post maswali yao yanakuwa kama scenario Fulani Yani anaanza labda .Prok Wewe si umefanya mda na lga interview hebu tupe nondo zake maana huu mfumo wa kuuliza mswali ya kitaasisi yanatesa Sana
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]kwamba mkando promaxKule ni selected for oral mamaee
Subiria iende shortlisted sasa😂😂😂😂😂Kule ni selected for oral mamaee
Wamesema huwezi pata kazi kwa njia ya status tusubiri pdf mzee😂😂😂😂😂[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]kwamba mkando promax
Big up, nimeipataNadhani mfumo wa sasa wa maswali kwa mwaka huu interview nilizohudhuria kama sio technical post maswali yao yanakuwa kama scenario Fulani Yani anaanza labda .
Tanzania Ulipata uhuru mwaka flani rais akawa nyerere ,halafu anakuuliza je kitu gani kilimsaidia nyerere kuongoza nchi?
BaridaWamesema huwezi pata kazi kwa njia ya status tusubiri pdf mzee[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kwahiyo pale nikusoma kwa makini ulielewe swali linataka nini pia kuna zile term zinazokuwaga kwenye maswali ndo zinafelisha watuBig up, nimeipata
Okay Sawa na huu mfumo WA oral maswali zaidi ya matano upo [emoji848][emoji848][emoji848][emoji848]Kwahiyo pale nikusoma kwa makini ulielewe swali linataka nini pia kuna zile term zinazokuwaga kwenye maswali ndo zinafelisha watu
Mimi oral zangu zote nilifanya maswali saba na mengine yaliongezeka humo ndani kulingana na nilichojibuOkay Sawa na huu mfumo WA oral maswali zaidi ya matano upo [emoji848][emoji848][emoji848][emoji848]
HakikaaNadhani mfumo wa sasa wa maswali kwa mwaka huu interview nilizohudhuria kama sio technical post maswali yao yanakuwa kama scenario Fulani Yani anaanza labda .
Tanzania Ulipata uhuru mwaka flani rais akawa nyerere ,halafu anakuuliza je kitu gani kilimsaidia nyerere kuongoza nchi?
Halafu sasa hivi yaan kwenye oral zote nkizofanya nlivyosoma havijanisaidia labda kwa asilimia 10 tu. Maswali mengi yalikuwa uelewa wakoProk Wewe si umefanya mda na lga interview hebu tupe nondo zake maana huu mfumo wa kuuliza mswali ya kitaasisi yanatesa Sana
Nafikiri kwenye oral kinachotusaidiaga ukiwa umesoma sanaaa unakuwa na confidence sasa Ile confidence inakusaidia kumanage kujibu swali hata kama hujalisoma lakini umeelewa linataka nini hapo unaweza kulijibu vizuri tuHalafu sasa hivi yaan kwenye oral zote nkizofanya nlivyosoma havijanisaidia labda kwa asilimia 10 tu. Maswali mengi yalikuwa uelewa wako
SureNafikiri kwenye oral kinachotusaidiaga ukiwa umesoma sanaaa unakuwa na confidence sasa Ile confidence inakusaidia kumanage kujibu swali hata kama hujalisoma lakini umeelewa linataka nini hapo unaweza kulijibu vizuri tu