Muce ndo wameleta mambo ya ajabuIla DUCE walitangaza na matokeo mapema, si kama hawa MUCE
Amini IAE ni yako sasa ukibisha nafuta jinaππππππNilishakubali matokeo
Naendelea kumuomba Munguπ€²Amini IAE ni yako sasa ukibisha nafuta jinaππππππ
Ukifika Bungeni unaweza peleka muswada ifutwe kabisa PSPRS hahahaUmeeleweka kiongozi ngoja nikagombee ubunge sasa
Tuombe ikawe heri kiongozi subiri next monthNaendelea kukuomba Munguπ€²
AmiinTuombe ikawe heri kiongozi subiri next month
πππππNikienda bungeni naondoa written ibaki oral tuUkifika Bungeni unaweza peleka muswada ifutwe kabisa PSPRS hahaha
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Waseme tu hiyo kazi niachie mimi hapa wote nitahakikisha mpo kwenye pdf hata kwahizi anonymous utakuta Mwifwa Prok Ahmet sema ery mendez huyu nitakata jina kwanza status yake ipo not selected
Ukiondoa written ukaita watu 5000 si utatumia miaka miwilikuendesha usaili wa mahojiano.πππππNikienda bungeni naondoa written ibaki oral tu
πππππWatumie tu GPA kama wanaona ni nyepesi kuzipataUkiondoa written ukaita watu 5000 si utatumia miaka miwilikuendesha usaili wa mahojiano.
Wayback 2015, PSPRS ilitakanga kwamba itaanza kutumia GPA hata kwa non-academic posts kama screening criterion
Ni suala la muda tu, nadhani ipo kwenye SP yaoπππππWatumie tu GPA kama wanaona ni nyepesi kuzipata
Kwenye mia 5 candidate utachukuaje wachache ukawafanyie oral bila kuonekana umefanya upendeleo?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Nikienda bungeni naondoa written ibaki oral tu
πππππHahhhh we subiri kuna siku itatoka pdf ina majina ya humu yote ili wajue watu wamechoka kusubiri[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Kaidukue PSRS ushushe mambo halafu uombe mpunga mrefu ili uiachie wakishakupa, sepa kaanze life lako la kidon popote Duniani
Watapiga tu wote kwani wale watumishi siwanalipwa?πππππππwatafanya kazi usiku na mchanaKwenye mia 5 candidate utachukuaje wachache ukawafanyie oral bila kuonekana umefanya upendeleo?
Hiyo hawawezi kufanyaNi suala la muda tu, nadhani ipo kwenye SP yao
Sijaongea kwa hisia mzee, walishaweka wazi hili kutokana na kushindwa kufanya screeningHiyo hawawezi kufanya
Kumbe wapo serious nayo waweke tu ππSijaongea kwa hisia mzee, walishaweka wazi hili kutokana na kushindwa kufanya screening
Well saidVyuo Vikuu vinaanzishwa kwa sheria, sheria husika ndo imevipa nguvu/hadhi ya kuwa mamlaka za ajira za watumishi wake, yaani wamepewa mamlaka ya kuendesha michakato ya ajira ya watumishi wake.
Ukiangalia saili nyingi za vyuo vikuu, PSRS imekuwa kama watch dog na kutumiwa kufanya shortlistings, tofauti kabisa na taaisi/instituties zingine ambazo PSRS huhusika moja kwa moja.
Nini kifanyike? Ni ukweli usiopingika kwamba PSPRS ukiacha mapungufu yake madogomadogo ni taasisi inayoaminiaka sana hasa na jobless na umma wa watanzania kwa ujumla, BUnge (Mbunge wako) ndo chombo pekee kinachoweza kufanya mabadiliko ya sheria zilizoanzisha vyuo vikuu na ile iliyoanzisha PSPRS ili kuhamishia majukumu hayo PSRS na kuifanya kuwa chombo pekee kinachosimamamia na kuendesha michakako ya kuajiri kwenye utumishi wa umma na kuwaongozea bajeti hasa ya rasilimali watu, ili michakato yake ifanyike kwa muda unaotajwa kwenye mkataba wa PSRS na wateja wake.
Kila taasisi ya serikali imeanzishwa kwa sheria, na iliundwa na kupewa miongozo yake ya namna ya kupata na kuajiri, kila taasisi na mashirika ya umma. Hii ni kabla ya kuundwa/kupewa nguvu zaidi tume ya ajira psrs katika kusimamia mchakato wa ajira kwa sekta ya umma.Vyuo Vikuu vinaanzishwa kwa sheria, sheria husika ndo imevipa nguvu/hadhi ya kuwa mamlaka za ajira za watumishi wake, yaani wamepewa mamlaka ya kuendesha michakato ya ajira ya watumishi wake.
Ukiangalia saili nyingi za vyuo vikuu, PSRS imekuwa kama watch dog na kutumiwa kufanya shortlistings, tofauti kabisa na taaisi/instituties zingine ambazo PSRS huhusika moja kwa moja.
Nini kifanyike? Ni ukweli usiopingika kwamba PSPRS ukiacha mapungufu yake madogomadogo ni taasisi inayoaminiaka sana hasa na jobless na umma wa watanzania kwa ujumla, BUnge (Mbunge wako) ndo chombo pekee kinachoweza kufanya mabadiliko ya sheria zilizoanzisha vyuo vikuu na ile iliyoanzisha PSPRS ili kuhamishia majukumu hayo PSRS na kuifanya kuwa chombo pekee kinachosimamamia na kuendesha michakako ya kuajiri kwenye utumishi wa umma na kuwaongozea bajeti hasa ya rasilimali watu, ili michakato yake ifanyike kwa muda unaotajwa kwenye mkataba wa PSRS na wateja wake.
Kijana wa not selected,upo?ππππWell said