Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Hiv kwa mfano ulikandwa tasisi flan nafas hiyo halafu wame re-advtise tena... unaweza ombaa tena.
maana ile ORAL tuliopigwa tulifeli wote

maana nataka niombe hapa... nipen elimu
Omba tena, sahihisha makosa. Naaamini unayakumbuka maswali na sasa hivi unao muda wa kutosha, hivyo utajiandaa vizuri zaidi muda huu.
 
Hiv kwa mfano ulikandwa tasisi flan nafas hiyo halafu wame re-advtise tena... unaweza ombaa tena.
maana ile ORAL tuliopigwa tulifeli wote

maana nataka niombe hapa... nipen elimu
Omba mkuu then uone kama watakushortlist.

Wakikushortlist nenda kapige tena makando then maamuzi yatakuwa juu yao
 
Sema utumishi najua wapo humu lakini kwa hizi za Muce wametukosea sana ,hatuwezi kuwa tunapoteza muda na nauli halafu wanaitana kwa simu ni dharau kubwa sana hizi kwa hizi zinazofata mkiita kwa simu aseeh mbona tutaelewana tu mwaka huu
Mimi nimeapa, endapo wakiita kwa simu kwa kada niliyoifanyia oral, nitawafuata huko kwenye ofisi zao wakanipe ufafanuzi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…