Hapo ndo huwa mnakosea sasa ukifika pale relax mzee siumeshasoma kutoka home kwahiyo pale unapoongea nao pia inakupa confidence hata yakujua wenzako ni watu wa aina gani na wanauwezo kiasi gani .pia unaweza kukuta wenzio Wana experience na hiyo ishu kuliko wewe kwahiyo pale pale ukajua ufanyaje kujitofautisha nao nafikiri hii kwa TA inaletaka changamoto kwakua kila mtu anakuwa anajiona specialMkuu mda wa Oral c kila mtu anakuwa adui yako kwa muda uleee(maana kila mtu anacompete apate iyo position).. baada ya pale hatuja taftanagaa labda nikutane nao mara ya pili niwaulizeee.
Watakushortlist tu unahofu nini??mwamba hata shortlist badoo..
ngoj tuombe dua... niwe shortlisted tenaa.
mwamba mm nimekutana na makauzuu maana walikuwa watu wamejitoleea palepale..Hapo ndo huwa mnakosea sasa ukifika pale relax mzee siumeshasoma kutoka home kwahiyo pale unapoongea nao pia inakupa confidence hata yakujua wenzako ni watu wa aina gani na wanauwezo kiasi gani .pia unaweza kukuta wenzio Wana experience na hiyo ishu kuliko wewe kwahiyo pale pale ukajua ufanyaje kujitofautisha nao nafikiri hii kwa TA inaletaka changamoto kwakua kila mtu anakuwa anajiona special
ππππTatizo wanaojitoleaga wanakuaga na dhalau sana sisi tuliendaga kupiga interview na wale wanaojitolea kwenye written sasa tukakariri namba zao majibu kuja hawakupita kwenda oral sema wanakuaga na dhalau sana yani hata ukimuuliza hiki kinaendaje Hataki kusema mamaaaae sanamwamba mm nimekutana na makauzuu maana walikuwa watu wamejitoleea palepale..
na washawahi ni simamiia Field
japo nimeshangaaa mnoo wamepigwa za kichwa [emoji28][emoji28][emoji28]
ndio nimeamini UTUMISHI hakuna updatendeleeo
Ni kweliHapo ndo huwa mnakosea sasa ukifika pale relax mzee siumeshasoma kutoka home kwahiyo pale unapoongea nao pia inakupa confidence hata yakujua wenzako ni watu wa aina gani na wanauwezo kiasi gani .pia unaweza kukuta wenzio Wana experience na hiyo ishu kuliko wewe kwahiyo pale pale ukajua ufanyaje kujitofautisha nao nafikiri hii kwa TA inaletaka changamoto kwakua kila mtu anakuwa anajiona special
Mkuu kumbe ushaonja oral tayari? Hongera sanaMimi nimeapa, endapo wakiita kwa simu kwa kada niliyoifanyia oral, nitawafuata huko kwenye ofisi zao wakanipe ufafanuzi
ππππTatizo wanaojitoleaga wanakuaga na dhalau sana sisi tuliendaga kupiga interview na wale wanaojitolea kwenye written sasa tukakariri namba zao majibu kuja hawakupita kwenda oral sema wanakuaga na dhalau sana yani hata ukimuuliza hiki kinaendaje Hataki kusema mamaaaae sana
Nimepiga interview moja ya TA luckily katika shortlisted for oral hakukua na mwanafunzi wa chuo husika. Ngoja tusubirieUnajua hizi interview za chuo kufundisha mara nyingi wanapewa waliosoma pale labda kwakuwa wanayajua mazingia yao vizuri au vipi yani mimi nilishasema kama naenda kufanya interview ya TA labda iwe kwenye chuo nilichosoma maana magumashi mengi lakini hii inayokuja niyako mzee kuwa na imani
Ndo hivyo tunasamehe maisha yasonge lakini watu wa hivi aseeh mpaka mtu unajiuliza sasa angenijibu tu kwani ndo ningepata hiyo kazi??Ni human nature mkuu. Ubinadamu kazi asee!
Mimi nilikutana na watu hata kukuelekeza toilet ni shida.
Ila cha muhimu ni kuwasemehe bure.
BE KIND TO EVERYONE ALWAYS
Hapo kidogo unakuwa na advantage maana ukiingia nao kwenye oral wanaweza kumfavourNimepiga interview moja ya TA luckily katika shortlisted for oral hakukua na mwanafunzi wa chuo husika. Ngoja tusubirie
Tulikua wanne nafasi 2, wadada 3 na beberu nilikua peke yangu.Hapo kidogo unakuwa na advantage maana ukiingia nao kwenye oral wanaweza kumfavour
Umeshapata mzee mpaka hapoTulikua wanne nafasi 2, wadada 3 na beberu nilikua peke yangu.
Hapo asubirie next mkeka wa 15/11/2022Umeshapata mzee mpaka hapo
ππππ sio kihivyo kama hujafikia vigezo wanavyotaka wao wanakula kichwaUmeshapata mzee mpaka hapo
Mzee upo vizuri mpaka tarehe unajua au ndio yale mambo ya JumanneHapo asubirie next mkeka wa 15/11/2022
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nyie subirieni Jumanne ndiyo siku tumeipitisha rasmi ya kutoa placement, labda kuwe emergency ndo tutatoa siku nyingineMzee upo vizuri mpaka tarehe unajua au ndio yale mambo ya Jumanne
πππππHahhhh mkuu kwahiyo umejichagulia siku au sio[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nyie subirieni Jumanne ndiyo siku tumeipitisha rasmi ya kutoa placement, labda kuwe emergency ndo tutatoa siku nyingine
ππππ Chakwanza huwa tunasema amini wewe ndiye katika wengiππππ sio kihivyo kama hujafikia vigezo wanavyotaka wao wanakula kichwa
Utumishi ndo wametuchagulia [emoji16][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hahhhh mkuu kwahiyo umejichagulia siku au sio
Mbona ya Muce imetoka jana?ππππππit just a myth tuUtumishi ndo wametuchagulia [emoji16]