Yeah tupo jobless pro max hapaAlakati za kutafuta Asali
Hii ndo option Yani ukishapata kazi kusoma wala sio shidaWatuajiri tutajisomesha wenyewe
Mkilamba Asali muwamkumbuke na wenzenu.Yeah tupo jobless pro max hapa
Hili nakubaliana na ww 100% kuhusu umri upo sahihi kabisa mi mwez wa 9 nilipiga oral tutorial assistant nafasi moja tukaingia oral watatu written niliwatupa mbali sana na oral maswali yalikuwa normal sana lkn kuna jamaa pale umri ulikua umeenda sana mpaka nlipomuona nilishangaa finally akala asali wengine tukakandwaMkuu nadhani kuna Kanuni
Kanuni za ufaulu;
Iwapo wasaili watafungana alama basi mlemavu atapewa nafasi, iwapo hakuna mlemavu basi mwanamke atapewa nafasi, endapo wote ni jinsia moja mfano wote ni mabeberu basi mwenye umri mkubwa atapewa nafasi.
πππππ Utumishi huwa wananifurahishaga hapo Yani mtu hata ajitolee vipi kukandwa kupo pale pale hahhhhWritten yangu ya kwanza tulikutana na watu 3 ambao wanajitolea kwa mwajiri aliyetangaza hizo nafasi.
Mmoja ambaye namjua(wengine nilikuwa siwafahamu ila niliambiwa na watu waliokuwa wanawafahamu) huwa ananihudumia pindi nikiwa na shida katika ofisi hiyo.
Kuja siku alikataa nyaraka zangu kisa nimetoa kopi kwenye kopi yenye muhuri wa wakili, nilimind ila hakunisikiliza/hakunielewa/hakukibali.
Kuna mfanyakazi mwingine nilikuwa nishajuaana naye(kwa sura ila sio majina na nilizoeana naye), nikaenda kumueleza jinsi nyaraka zangu zilivyokataliwa, baada ya kunisikiliza akakubali na kuzipokea.
Huyu aliyezikataa nilidhani ni muajiriwa pale.
Siku ya written nilipotinga pale CIVE tukiwa tumekaa nje kusubiri utaratibu, nikamuona akaja nikadhani amekuja kusimamia mtihani(sikujua kama PSRS ndio jukumu lao hilo), wakati tunaendelea kusubiri ndipo nikagundua na yeye amekuja kwenye usahili.
Tulipiga written, tukakandwa wote(mimi na yeye), ndipo nikaamini kujitolea hiyo sio tiketi ya kufaulu UTUMISHI.
Nimeionja kimasihara aisee, ilikuwa imebaki hiyo tu ndio nikabahatika kufika oralMkuu kumbe ushaonja oral tayari? Hongera sana
Lazima tuwakumbuke na mimi nikiwakanda utumishi nitajitahidi kila mtu awakande kupitia experience yanguMkilamba Asali muwamkumbuke na wenzenu.
Omba Mungu wadada wasitumie mbinu zaidi na zaidi kukuovertakeTulikua wanne nafasi 2, wadada 3 na beberu nilikua peke yangu.
Lazima wamuzingatie asije kuzeekea nyumbaniHili nakubaliana na ww 100% kuhusu umri upo sahihi kabisa mi mwez wa 9 nilipiga oral tutorial assistant nafasi moja tukaingia oral watatu written niliwatupa mbali sana na oral maswali yalikuwa normal sana lkn kuna jamaa pale umri ulikua umeenda sana mpaka nlipomuona nilishangaa finally akala asali wengine tukakandwa
Kweli aseeπ€£π€£Lazima wamuzingatie asije kuzeekea nyumbani
ππππWadada wanaongeaga sana kiingereza kwahiyo kama haikuwa technical post hapo baba jeni bye bye maana manzi wengi wanajua kuongea lakini content za technical hawanaOmba Mungu wadada wasitumie mbinu zaidi na zaidi kukuovertake
Hiyo ilikuwa ya mchongoMbona ya Muce imetoka jana?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]it just a myth tu
Hata technical mzee wanapewa yn akipita t practcal amechkua kzππππWadada wanaongeaga sana kiingereza kwahiyo kama haikuwa technical post hapo baba jeni bye bye maana manzi wengi wanajua kuongea lakini content za technical hawana
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Ile ilitoka tarehe 25 October ambayo ni jumanne
Juzi 2 wameingia bungeni pale programmer na system admin kada z ictHata technical mzee wanapewa yn akipita t practcal amechkua kz
ππππAsa unakuta wewe umeenda pale una 26 unataka TA afu kuna mwamba yupo 37 anataka TA lazima wamuzingatie huyo maana amefika kwenye kina kirefu hapoKweli aseeπ€£π€£
π€£π€£π€£ anakrbia deadline sioππππAsa unakuta wewe umeenda pale una 26 unataka TA afu kuna mwamba yupo 37 anataka TA lazima wamuzingatie huyo maana amefika kwenye kina kirefu hapo
ππππKwahiyo mwamba ni baba jeni bye bye hahhhh daaah afu na mimi kwenye oral tulikua na manzi mmoja mamaeeee walahiJuzi 2 wameingia bungeni pale programmer na system admin kada z ict
ππππWanaona kabisa huyu tukimuacha na huu umri hawezi kutoboa written nyingine Bora wambebe tuπ€£π€£π€£ anakrbia deadline sio
ππππKwahyo hii ya jumanne kumbe ipo serious hahhhhHiyo ilikuwa ya mchongo