Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Mkuu nadhani kuna Kanuni

Kanuni za ufaulu;
Iwapo wasaili watafungana alama basi mlemavu atapewa nafasi, iwapo hakuna mlemavu basi mwanamke atapewa nafasi, endapo wote ni jinsia moja mfano wote ni mabeberu basi mwenye umri mkubwa atapewa nafasi.
Hili nakubaliana na ww 100% kuhusu umri upo sahihi kabisa mi mwez wa 9 nilipiga oral tutorial assistant nafasi moja tukaingia oral watatu written niliwatupa mbali sana na oral maswali yalikuwa normal sana lkn kuna jamaa pale umri ulikua umeenda sana mpaka nlipomuona nilishangaa finally akala asali wengine tukakandwa
 
Written yangu ya kwanza tulikutana na watu 3 ambao wanajitolea kwa mwajiri aliyetangaza hizo nafasi.

Mmoja ambaye namjua(wengine nilikuwa siwafahamu ila niliambiwa na watu waliokuwa wanawafahamu) huwa ananihudumia pindi nikiwa na shida katika ofisi hiyo.

Kuja siku alikataa nyaraka zangu kisa nimetoa kopi kwenye kopi yenye muhuri wa wakili, nilimind ila hakunisikiliza/hakunielewa/hakukibali.

Kuna mfanyakazi mwingine nilikuwa nishajuaana naye(kwa sura ila sio majina na nilizoeana naye), nikaenda kumueleza jinsi nyaraka zangu zilivyokataliwa, baada ya kunisikiliza akakubali na kuzipokea.

Huyu aliyezikataa nilidhani ni muajiriwa pale.

Siku ya written nilipotinga pale CIVE tukiwa tumekaa nje kusubiri utaratibu, nikamuona akaja nikadhani amekuja kusimamia mtihani(sikujua kama PSRS ndio jukumu lao hilo), wakati tunaendelea kusubiri ndipo nikagundua na yeye amekuja kwenye usahili.

Tulipiga written, tukakandwa wote(mimi na yeye), ndipo nikaamini kujitolea hiyo sio tiketi ya kufaulu UTUMISHI.
😂😂😂😂😂 Utumishi huwa wananifurahishaga hapo Yani mtu hata ajitolee vipi kukandwa kupo pale pale hahhhh
 
Hili nakubaliana na ww 100% kuhusu umri upo sahihi kabisa mi mwez wa 9 nilipiga oral tutorial assistant nafasi moja tukaingia oral watatu written niliwatupa mbali sana na oral maswali yalikuwa normal sana lkn kuna jamaa pale umri ulikua umeenda sana mpaka nlipomuona nilishangaa finally akala asali wengine tukakandwa
Lazima wamuzingatie asije kuzeekea nyumbani
 
Back
Top Bottom