Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Katika usaili wa kuandika au vitendo, mtu mwenye
ulemavu atakayekuwa amefikisha alama za kuanzia za ufaulu
kama zilivyofafanuliwa katika Kanuni .

Hii nimeliona lakini halijawa hivi kama unavyosema. Cut off mbona ilimchapa mtu wenye sifa hizi ingawa alikuwa na zaidi ya 50 kwenye written na cut off ilikuwa hapo hapo 50+
 
Ndoige imemkuta na yeye🤣🤣🤣🤣🤣
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…