Katika usaili wa kuandika au vitendo, mtu mwenye
ulemavu atakayekuwa amefikisha alama za kuanzia za ufaulu
kama zilivyofafanuliwa katika Kanuni .
Nafikiri kwenye oral ndo inakuwaga na effect sanaHii nimeliona lakini halijawa hivi kama unavyosema. Cut off mbona ilimchapa mtu wenye sifa hizi ingawa alikuwa na zaidi ya 50 kwenye written na cut off ilikuwa hapo hapo 50+
Nipo natafakati jinsi gani wadada walikua wanne wanaume 6 mimi kama baba jeni sielewi elewery mendez jobless mwenzangu wa selected for oral umepotelea wapi aseeh au umeenda kuzindua visima kigamboni😂
😂😂😂😂😂Hahhhhh hapo baba jeni bye bye na post siilikuwa moja??nilijiuliza huyu jobless kaenda wapi hahhhN
Nipo natafakati jinsi gani wadada walikua wanne wanaume 6 mimi kama baba jeni sielewi elew
Yani hapo mi ata kwenye kanzidata sijui kwakwel😂😂😂😂😂Hahhhhh hapo baba jeni bye bye na post siilikuwa moja??nilijiuliza huyu jobless kaenda wapi hahhh
Ukute wewe ndo umepita sasa wenzio ndo hata database hawapoYani hapo mi ata kwenye kanzidata sijui kwakwel
Status inipe mawazo mpka nitake kuchanganyikiwa sasa ni walemav na wanawake duh jobless anateseka sanaUkute wewe ndo umepita sasa wenzio ndo hata database hawapo
Ndoige imemkuta na yeye🤣🤣🤣🤣🤣Written yangu ya kwanza tulikutana na watu 3 ambao wanajitolea kwa mwajiri aliyetangaza hizo nafasi.
Mmoja ambaye namjua(wengine nilikuwa siwafahamu ila niliambiwa na watu waliokuwa wanawafahamu) huwa ananihudumia pindi nikiwa na shida katika ofisi hiyo.
Kuja siku alikataa nyaraka zangu kisa nimetoa kopi kwenye kopi yenye muhuri wa wakili, nilimind ila hakunisikiliza/hakunielewa/hakukibali.
Kuna mfanyakazi mwingine nilikuwa nishajuaana naye(kwa sura ila sio majina na nilizoeana naye), nikaenda kumueleza jinsi nyaraka zangu zilivyokataliwa, baada ya kunisikiliza akakubali na kuzipokea.
Huyu aliyezikataa nilidhani ni muajiriwa pale.
Siku ya written nilipotinga pale CIVE tukiwa tumekaa nje kusubiri utaratibu, nikamuona akaja nikadhani amekuja kusimamia mtihani(sikujua kama PSRS ndio jukumu lao hilo), wakati tunaendelea kusubiri ndipo nikagundua na yeye amekuja kwenye usahili.
Tulipiga written, tukakandwa wote(mimi na yeye), ndipo nikaamini kujitolea hiyo sio tiketi ya kufaulu UTUMISHI.
😂😂😂😂😂Hahhhhh achana na status ukute kwenye oral ulipiga na mlemavu afu kwenye panel kuna mlemavu hahhhhhStatus inipe mawazo mpka nitake kuchanganyikiwa sasa ni walemav na wanawake duh jobless anateseka sana
Hapo ndo utajua haujui yan niagieni inakuhusu😂😂😂😂😂Hahhhhh achana na status ukute kwenye oral ulipiga na mlemavu afu kwenye panel kuna mlemavu hahhhhh
😂😂😂😂 Wanakwambia asante kwakushiriki mwendo umeumalizaHa
Hapo ndo utajua haujui yan niagieni inakuhusu
Mimi walikua wadada 5 mibeberu tulikua 13 hahaaaa🤣N
Nipo natafakati jinsi gani wadada walikua wanne wanaume 6 mimi kama baba jeni sielewi elew
😂😂😂😂Post ngapi hapo??Mimi walikua wadada 5 mibeberu tulikua 13 hahaaaa🤣
6 mzee😂😂😂😂Post ngapi hapo??
😂😂😂😂Hapo baba jeni bye bye afu sindo imeandika not selected tukasema ni mtandao tu ?hahhhhh6 mzee
Eeh ndio imeandika mzee mapema sana🤣🤣,5 washazichukua wenyewe kina dada Moja ndo tunaigombania mibeberu😂😂😂😂Hapo baba jeni bye bye afu sindo imeandika not selected tukasema ni mtandao tu ?hahhhhh
Siku nyingine usidanganywe hivyo Kuna mademu yana jua yanavunga hayajui shauri Yako demu aliaanza kukukanda nje kwanza kabla ya psrs hawajakukanda 🤣🤣😂😂😂😂Kale kademu kalivyopata nikasema kaaah asa kamepataje wakati kalikuwa hakajui tu