Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Hawa TPA wanataka form 6 lever kabisa ee, tena wenye Div I au II. Wameenda mbali wakataka uwe na miaka isiyozidi 21.
 

Hahaha! Sawa Mkuu, ushauri mzuri sana, kama ambavyo kwa sasa Serikali inaunda tume kila siku, tutaunda tume ya majobless sugu walitazame kwa kina hili la madaraja kisha walete ripoti yao juu ya kipi kiongezeke.
 
Kabisa Mkuu, watu wa IT hawapaswi hata kulalamika hawajaitwa usaili, wanashindwa kabisa kujiita wenyewe?
😂😂😂😂Kuna kipindi Fulani pale Udom ule mfumo wa matokeo ulitengenezwaga na wanafunzi wa Cive sasa wakawa wanajua kuuaccess kwahiyo walikuwa wanajiwekea A enzi hizo hata kama ana sup
 
Shukrani sana kwa ushauri mkuu
 
Hahaha! Sawa Mkuu, ushauri mzuri sana, kama ambavyo kwa sasa Serikali inaunda tume kila siku, tutaunda tume ya majobless sugu walitazame kwa kina hili la madaraja kisha walete ripoti yao juu ya kipi kiongezeke.
Hizi tume ambazo zinakuja na majibu ya mchongo, unakumbuka Tume ya Mto Mara[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]

Isije ikafuata nyayo hizo..
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kuna kipindi Fulani pale Udom ule mfumo wa matokeo ulitengenezwaga na wanafunzi wa Cive sasa wakawa wanajua kuuaccess kwahiyo walikuwa wanajiwekea A enzi hizo hata kama ana sup
Chuo walikwama sana, walishindwa kuweka ulinzi ili hao developer wasiweze kuingia tena kwenye mfumo.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kuna kipindi Fulani pale Udom ule mfumo wa matokeo ulitengenezwaga na wanafunzi wa Cive sasa wakawa wanajua kuuaccess kwahiyo walikuwa wanajiwekea A enzi hizo hata kama ana sup
ivi ni kweli utumishi wame postpon mchakato wa pdf ya usaili kwasabu ya muda kutokutosha kumaliza mchakato ?mwenye kujua hili
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…