Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Naomba kuuliza kwa waelewa wa utumishi, hv ikatokea mtu alikuwa serekalini hapo kabla then akawa aliacha kazi na kufanya kazi kwenye private kwa miaka kama Saba hv na Sasa ameomba na kupata kazi serekalini tena na ikabainika mtu huyo tayari alikuwa na check number, inaweza kuathiri Ajira yake?
Kama uliwahi kuwa na Check number halafu ukaacha kazi, ni vigumu kurudi kwa njia ya kawaida(kuapply) labda urudi kwa njia nyingine(ya connection)
 
Naombeni msaada ndugu zangu nilimwombea mdogo wangu nafasi ya kazi BAKITA cha ajabu hawajamuita kwenye usaili kwa sababu wanadai hajapitisha barua kwa mwajiri wake huku hajajiriwa nashangaa sana sekretarieti haya mambo sekretarieti wameanza lini mtu hana ajira wanasema hajapitisha barua yake kwa mwajiri.
Kheee, ebu sreenshot tuone
 
Kitambulisho ni lazima kiwe VALID.
Nimeshuhudia sehemu kadhaa ambapo kitambulisho kilichoisha muda wake kikikataliwa.

Chukua barua ya utambulisho toka serikali ya mtaa au kijiji unapoishi. Ukifanya hivyo, UTA ENJOY.

One thing about sekretarieti ya ajira: Usiende Dodoma ukiwa na mashaka mashaka, wana tabia ya kujiinua.

Just be on the safe side.
Kwa wale wanaoenda kufanya interview za tutorial assistants ambazo zinafanywa kwenye vyuo husika na sio Dodoma, hii barua ya utambulisho wa mkazi inakuwa addressed kwenda sekretarieti ya ajira au unaiadress kwenda chuo husika ?
 
Me ningewashauri tu nyie mnaosubiri placements muendelee na mambo mengine pamoja na kuangalia michongo mingine, otherwise niwajuavyo utumishi unaweza ukawa na matumaini nao sana then wakaja wakakusuprise ukabaki kuwa disappointed.
Sawa sawa maana disappointment ya PSRS inavurugaga akili
 
Kwa wale wanaoenda kufanya interview za tutorial assistants ambazo zinafanywa kwenye vyuo husika na sio Dodoma, hii barua ya utambulisho wa mkazi inakuwa addressed kwenda sekretarieti ya ajira au unaiadress kwenda chuo husika ?
Tusubiri waje wadau
 
Kwa wale wanaoenda kufanya interview za tutorial assistants ambazo zinafanywa kwenye vyuo husika na sio Dodoma, hii barua ya utambulisho wa mkazi inakuwa addressed kwenda sekretarieti ya ajira au unaiadress kwenda chuo husika ?
Usi Complicate maishaa mkuu.
Mm Barua, Huwa natumiia hiyohiyo Moja kwa kila INTERVIEW ninayo itwaa. kikubwa picha yako na muhuri uwepoo.
 
Usi Complicate maishaa mkuu.
Mm Barua, Huwa natumiia hiyohiyo Moja kwa kila INTERVIEW ninayo itwaa. kikubwa picha yako na muhuri uwepoo.
Sawa mkuu, but hiyo barua yako wewe unayoitumia kila interview imekuwa addressed kwenda wapi ? Au barua za utambulisho haziwi addressed maana mi sijawahi hata kuiona but nmeuliza tu incase ntakuta hiyo option.
 
Back
Top Bottom