Kama uliwahi kuwa na Check number halafu ukaacha kazi, ni vigumu kurudi kwa njia ya kawaida(kuapply) labda urudi kwa njia nyingine(ya connection)Naomba kuuliza kwa waelewa wa utumishi, hv ikatokea mtu alikuwa serekalini hapo kabla then akawa aliacha kazi na kufanya kazi kwenye private kwa miaka kama Saba hv na Sasa ameomba na kupata kazi serekalini tena na ikabainika mtu huyo tayari alikuwa na check number, inaweza kuathiri Ajira yake?
Barua ya maombi nilimwandikia katibu psrs pia ningekosea anuani wasingesema wasingesema nimeajiriwaaddress uliandika ya bakita au ya psrs? kn uliandika ya bakita inaweza kua sabab kuna mshikaj wangu alikosea hapo wakamtema sabab wakamwandikia Application not addressed to Secretary PSRS
Hajawahi kuajiriwa hata serikalini wala mashirika ya umma mimi mwenyewe nimeshangaaKama uliwahi kuwa na Check number halafu ukaacha kazi, ni vigumu kurudi kwa njia ya kawaida(kuapply) labda urudi kwa njia nyingine(ya connection)
Ndio usaili wa kwanza auBarua ya maombi nilimwandikia katibu psrs pia ningekosea anuani wasingesema wasingesema nimeajiriwa
Kheee, ebu sreenshot tuoneNaombeni msaada ndugu zangu nilimwombea mdogo wangu nafasi ya kazi BAKITA cha ajabu hawajamuita kwenye usaili kwa sababu wanadai hajapitisha barua kwa mwajiri wake huku hajajiriwa nashangaa sana sekretarieti haya mambo sekretarieti wameanza lini mtu hana ajira wanasema hajapitisha barua yake kwa mwajiri.
Kwa wale wanaoenda kufanya interview za tutorial assistants ambazo zinafanywa kwenye vyuo husika na sio Dodoma, hii barua ya utambulisho wa mkazi inakuwa addressed kwenda sekretarieti ya ajira au unaiadress kwenda chuo husika ?Kitambulisho ni lazima kiwe VALID.
Nimeshuhudia sehemu kadhaa ambapo kitambulisho kilichoisha muda wake kikikataliwa.
Chukua barua ya utambulisho toka serikali ya mtaa au kijiji unapoishi. Ukifanya hivyo, UTA ENJOY.
One thing about sekretarieti ya ajira: Usiende Dodoma ukiwa na mashaka mashaka, wana tabia ya kujiinua.
Just be on the safe side.
Sawa sawa maana disappointment ya PSRS inavurugaga akiliMe ningewashauri tu nyie mnaosubiri placements muendelee na mambo mengine pamoja na kuangalia michongo mingine, otherwise niwajuavyo utumishi unaweza ukawa na matumaini nao sana then wakaja wakakusuprise ukabaki kuwa disappointed.
Tusubiri waje wadauKwa wale wanaoenda kufanya interview za tutorial assistants ambazo zinafanywa kwenye vyuo husika na sio Dodoma, hii barua ya utambulisho wa mkazi inakuwa addressed kwenda sekretarieti ya ajira au unaiadress kwenda chuo husika ?
Wameniita mara 4 na hata ya bunge nimeitwa ila hii ya bakita wanasema sijapitisha kwa mwajiri huku sijaajiriwaNdio usaili wa kwanza au
Pengine umepangiwa Toka database ila hujaitwa badoWameniita mara 4 na hata ya bunge nimeitwa ila hii ya bakita wanasema sijapitisha kwa mwajiri huku sijaajiriwa
Basi wapigie simu kama utawapata.Wameniita mara 4 na hata ya bunge nimeitwa ila hii ya bakita wanasema sijapitisha kwa mwajiri huku sijaajiriwa
Hawapokei simu inaita na kukata mara bizeBasi wapigie simu kama utawapata.
Hii ni point piaPengine umepangiwa Toka database ila hujaitwa bado
Tusubiri waje wadau
Usi Complicate maishaa mkuu.Kwa wale wanaoenda kufanya interview za tutorial assistants ambazo zinafanywa kwenye vyuo husika na sio Dodoma, hii barua ya utambulisho wa mkazi inakuwa addressed kwenda sekretarieti ya ajira au unaiadress kwenda chuo husika ?
Sawa mkuu, but hiyo barua yako wewe unayoitumia kila interview imekuwa addressed kwenda wapi ? Au barua za utambulisho haziwi addressed maana mi sijawahi hata kuiona but nmeuliza tu incase ntakuta hiyo option.Usi Complicate maishaa mkuu.
Mm Barua, Huwa natumiia hiyohiyo Moja kwa kila INTERVIEW ninayo itwaa. kikubwa picha yako na muhuri uwepoo.
Mkuu mm nili Address kwa Sekreati ya Ajira.Sawa mkuu, but hiyo barua yako wewe unayoitumia kila interview imekuwa addressed kwenda wapi ? Au barua za utambulisho haziwi addressed maana mi sijawahi hata kuiona but nmeuliza tu incase ntakuta hiyo option.
Poa poa mkuuMkuu mm nili Address kwa Sekreati ya Ajira.
Maana kazi zote c naombea kupitia ajira Portal so nili Generalize
Hiyo barua ya utambulisho WA mkazi ina umuhimu gani kwenye sahili za ajira za serikali Kule Dodoma ?Mkuu mm nili Address kwa Sekreati ya Ajira.
Maana kazi zote c naombea kupitia ajira Portal so nili Generalize