Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

kumbe una ajira,ndo sababu una jeuri ya kuandika hayo.Labda ni share exprience yangu na Jobless kuwa tafadhali msichague kazi na mahala kwa kuanzia wakati mwingine unapata uzoefu ili uku-back up kusonga mbele zaidi.Binafsi,mie ni Mhenga ambaye ajira yangu ya kwanza ilikuwa kwa Mhindi kama Sales Person nikizunguka kutafuta masoko na jua na joto lote la DSM likawa linaishia kichwani kwangu huku nikilipwa kima cha chini miaka hiyo TZS 30,000/.Hata hivyo,uzoefu wa kazi hiyo ya Mhindi ndio ulionipatia kazi nilipoenda interview kwenye shirika kubwa la umma ambapo Mshahara na marupurupu yalikuwa mazuri sana. Ushauri wangu ni kuwa Jobless unatakiwa kuanza kuchagua ukiwa na kitu mkononi
 
Kweli aseeh Asante kwa ushauri kiongozi
 
Naunga mkono hoja,mtu anaongelea hapa jirani bahi,wakati kuna watu wanapangiwa kazi kakonko-kigoma au Kyerwa-Karagwe wanakwenda na maisha yapo yanaendelea.Huyu atakuwa mtoto wa mama
 
πŸ‘πŸ‘πŸ‘πŸ‘πŸ‘πŸ‘πŸ‘πŸ‘
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…