Introduce you self and your education background Hilo lazima, jingine naona wanauliza sana ni challenge inayoweza tokea Kama vifaa ya kazi offisin vibovu au havifanyi kaziDuhh ulitisha mkuu, Kwan wanaulizaga maswali Gani kwenye oral, ukiachna na Yale yanayohusiana na career yako
Ngoja tukawakilisheeee kipindi tunasikiliziiiia PDF yetuMungu awatangulieni wote mnaipiga paper leo [emoji120]
Sahihi tuwaombee kheri ndugu zetu wakafanye vyema katika saili zaoNgoja tukawakilisheeee kipindi tunasikiliziiiia PDF yetu
Hivi Kuna uingiliano wa kazi kati ya Tanzania bara na Zanzibar nikiwa na maana hizi kazi zinazotangazwa na watu wa Zanzibar wanatuma maombi na kuja dodoma na huko Zanzibar wanatangaza kazi au zote zinatoka Huku na Kama huko Kuna kazi niambieni niombee na huko wakuu mataani sio poaSahihi tuwaombee kheri ndugu zetu wakafanye vyema katika saili zao
Ndo tumemaliza, sema nmeona maswali ni general question kuhusu mambo ya Bunge na maswala ya UN, United Kingdom na Tanzania in generalJamani tupeni mrejesho huko Dodoma, Usaili umeendaje leo
Pepa ilianza saa ngapi mkuu..?Ndo tumemaliza, sema nmeona maswali ni general question kuhusu mambo ya Bunge na maswala ya UN, United Kingdom na Tanzania in general
Poa poa mkuuIntroduce you self and your education background Hilo lazima, jingine naona wanauliza sana ni challenge inayoweza tokea Kama vifaa ya kazi offisin vibovu au havifanyi kazi
Saa 5 na dk 45Pepa ilianza saa ngapi mkuu..?
Mlichelewa sana,, au Vetting ilikuwa Kali..?Saa 5 na dk 45
UkaguziMlichelewa sana,, au Vetting ilikuwa Kali..?
Zipo Kada ya IT Kama mtihani ya ma software developerHalafu Hivi Pepa zote Huwa hazizidi dakika 40 or Kuna zile za kuzidi hapo ? Namaanisha written interviews zote zinazofanyika utumishi/Dodoma na zile zinazofanyika Taasisi husika e.g za Tutorial Assistants
POa poa mkuuZipo Kada ya IT Kama mtihani ya ma software developer
Ilikuwa multiple choice maswali ya bungen, na matching items maswali ya bungeni. Maswali ninayoweza kukumbuka ambayo ni out of bungeni ni kuhusu nchi zilizopo united kingdom ni ngap, resolutions za UN ni ngapi hapa nimesahau swal exactly ila ulitakiwa kusema idadi ambapo ni multiple choice, kucompare How the parliament of commons ya UK ilimtreat Borris kwenye issue za Corona na the way Lowassa alikuwa treated kwenye Richmond scandal, hapa pia kuna multiple choice za kuchanganya, halafu kuandika short notes on what the government of Tanzania should do ili kubenefit from increase of population, duties the clerk should do kupromote welfare of the people, lingine lilikuwa statement inasema Tanzania imejidevote kuwa superpower kwenye kusupply electricity among East African Countries, discussLeteni maswali basi tuoneee
One hourKwa mda gani Boss..?