Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Mara paaap wote tumelamba asali! Lazima tukutane tuone Subaru ya wizzy
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚Kabisa lazima ninunue kilichokuwa kinanitesa aseeh afu na sitaki kupangiwa matumizi ya pesa zangu kudadeki ,jobless nipo kwenye Subaru piga horn nyingi sana njiani na kuipost sana status ,usipo view nakutumia picha inbox πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…