Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Jobless tutafika tumechoka sanaπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Noma sana aise maana ingekuwa jobless kaona pdf angetulia ,au angekuwa kasikia jamaa ake aliyepiga nae usahili kapigiwa angekuwa na amani ,kukosa pdf na simu lazima jobless aangalie status kwa nguvu zote aise🀣🀣🀣 katika kuishi
 
Noma sana aise maana ingekuwa jobless kaona pdf angetulia ,au angekuwa kasikia jamaa ake aliyepiga nae usahili kapigiwa angekuwa na amani ,kukosa pdf na simu lazima jobless aangalie status kwa nguvu zote aise🀣🀣🀣 katika kuishi
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚Hahhhhh unaangalia labda imeniambia nikachukue barua
 
Hii nchi noma sana aisee...
 
Daahh watu wanauliza hivi aisee..

Kuna jamaa alipost picha ya enzi za chuo watu walikuwa wamekusanyika kwenye kimbweta wakidiscuss kwa ajili ya kwenda kupiga pepa.

Hiyo picha imetukumbusha mbali, watu wakaanza kukomenti.

Wengi katika picha wapo kwenye mirija ya Asali ya uhakika.

Sasa mwingine kauliza hivi, mimi ambaye ni jobless nikajiona mnyonge sana, game limenikalia tenge nipo kwenye relegation zone ya msimamo wa ligi[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3].

Tupambane aisee majobless!
 
Aisee lazima ujiskie mnyonge kaka,ila Mungu mkubwa uneukaribia mlango Bado kunyonga kitasa tu uingie
 
Usivunjike moyo Kiongozi wakati wako utafika
 
Thanks
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…