Mawazo yangu yalikaa hapo nitaenda kuifanya kwa hakika kabisaKafanye ya TAEC mkuu
Nenda TAEC, huko OUT unaweza kufanyiwa umafia bure.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hahhhhh sijui hata wapi kuna hela ngoja waje waseme hapa TAEC ni PGSS 7 na OUT ni PUTS 1.1 ambayo niliambiwa ni kama 1.6mil sasa sielewi lakini OUT nafasi 4 tumeitwa kama 40 na taec nafasi 10 tumeitwa 500 [emoji23][emoji23]
Kweli mzee OUT naona umafia nje nje kama ile iliyopita ilikuwaga na maajabu kinomaπππNenda TAEC, huko OUT unaweza kufanyiwa umafia bure.
Pia mimi naona kwenye mashirika ni angalau unaweza kupata hata muda wa kula bata, huko kwenye kufundisha ni kukimbizana na madesa daily.
Kuna uzi nilikutag, umeuona?Mawazo yangu yalikaa hapo nitaenda kuifanya kwa hakika kabisa
Maoni yangu nenda na kusudio la TAEC ila ukifika kule jaribu kuwaambia kama una saili nyingine,kama Kuna mpishano hata kidogo wa time tible wanaweza wakakuzingatia ukafanya na OUT Moja..Kuna mdau aliwah saidika hizi so wakiona inafaa watakusaidiaπππππHahhhhh sijui hata wapi kuna hela ngoja waje waseme hapa TAEC ni PGSS 7 na OUT ni PUTS 1.1 ambayo niliambiwa ni kama 1.6mil sasa sielewi lakini OUT nafasi 4 tumeitwa kama 40 na taec nafasi 10 tumeitwa 500 ππ
Nimeuona ule afu najua hapo watachukua zaidi ya hao 10 kwasababu asaivi wana uhaba wa wafanyakaziKuna uzi nilikutag, umeuona?
Bila shaka ukiupitia ule uzi na ukaona shuhuda za waliofanya oral, utagundua kuwa TAEC una probability kubwa ya kulamba Asali endapo utafika oral
Kila la khery mkandajiNimeuona ule afu najua hapo watachukua zaidi ya hao 10 kwasababu asaivi wana uhaba wa wafanyakazi
ππππMambo zakupigiana simu aseeh hazifai kabisaNdio hivyo mkuu.
Ahmet jinsi alivyofanyiwa MUCE inabidi iwe reference ukiwa unajilipua kwenye interview za vyuoni
ππππKaka baraka zako nimezipokea kwa mikono miwili acha nikawakande sasaKila la khery mkandaji
ππππSitaenda mzee nauli zinauma kinoma aseehIla hapo ikitokea kesho pdf linasoma Bado utaenda kwenye usaili?
Nitaenda kujaribu kuongea nao nione watasemajeMaoni yangu nenda na kusudio la TAEC ila ukifika kule jaribu kuwaambia kama una saili nyingine,kama Kuna mpishano hata kidogo wa time tible wanaweza wakakuzingatia ukafanya na OUT Moja..Kuna mdau aliwah saidika hizi so wakiona inafaa watakusaidia
Haina kufeli mwambaππππKaka baraka zako nimezipokea kwa mikono miwili acha nikawakande sasa
Njia nyeupe mkuu.Nimeuona ule afu najua hapo watachukua zaidi ya hao 10 kwasababu asaivi wana uhaba wa wafanyakazi
Uhakika kiongoziHaina kufeli mwamba
Atatamani aajiriwe koteNjia nyeupe mkuu.
Imagine placement zije zitoke pamoja na ORCI halafu kote uwepo.
Si utaona Dunia yako pekee hii[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
ππππHahhhh tatizo orci watatangulia tu sema Taec Kuna michongo hatari aseeh volunteer tu amejenga hahhhNjia nyeupe mkuu.
Imagine placement zije zitoke pamoja na ORCI halafu kote uwepo.
Si utaona Dunia yako pekee hii[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Ataenda kuchukua barua na kupiga usahili pia.[emoji3][emoji3]Ila hapo ikitokea kesho pdf linasoma Bado utaenda kwenye usaili?
Hapo unyama sana,tunakuombeaππππHahhhh tatizo orci watatangulia tu sema Taec Kuna michongo hatari aseeh volunteer tu amejenga hahhh