Just Distinctions
JF-Expert Member
- May 5, 2016
- 3,230
- 6,742
Baba jeni bye byeππππDuh au zimepigwa chini nini
π€£π€£π€£π€£ Wizy baba ,,ππππOya njia nyingine ipi au unataka utukabe na Subaru zetu?
Mambo ya kuvitiana waya haya dah noma sana unasbiria basi kituoni wakti wenzako washafika kitambo π€£π€£Utumishi huwa hawatabiriki, mi nilihudhuria interview moja wale baadhi tuliokuwa tumehudhuria pamoja baadhi wameshaitwa kwa kupigiwa simu wafate barua na wanapiga kazi mpaka sasa na orodha ya kuitwa kazini haijatoka officially mpaka sasa, siku ikija kutoka unajikuta tu haupo na walioitwa ni wale waliotaarifiwa, jaribu kucheki na uliofanya nao.
ππππeeeh mzee aanze kutukaba hahhhh akapige interview tu kama nauli ipo Hawa utumishi hawataki hasiraπ€£π€£π€£π€£ Wizy baba ,,
Hawabembelzi hawa jamaa hahah ukiwasusia ndo ntolee hiyo π€£π€£ππππeeeh mzee aanze kutukaba hahhhh akapige interview tu kama nauli ipo Hawa utumishi hawataki hasira
Sema hili Jambo la kuwa na namba za wenzako kwenye usaili ni muhimu sana kwasasaUtumishi huwa hawatabiriki, mi nilihudhuria interview moja wale baadhi tuliokuwa tumehudhuria pamoja baadhi wameshaitwa kwa kupigiwa simu wafate barua na wanapiga kazi mpaka sasa na orodha ya kuitwa kazini haijatoka officially mpaka sasa, siku ikija kutoka unajikuta tu haupo na walioitwa ni wale waliotaarifiwa, jaribu kucheki na uliofanya nao.
ππππNa wala hawajili yani ukisusa nawenyewe hawakuulizi yaniHawabembelzi hawa jamaa hahah ukiwasusia ndo ntolee hiyo π€£π€£
Ninaowajua wote hawajaitwa, pia Kuna kada nyingine tatu tulipiga nao matokeo hayajatokaSema hili Jambo la kuwa na namba za wenzako kwenye usaili ni muhimu sana kwasasa
Jamaa anaitaji counseling kidogo ya kuhusu ajira na kutoboa ...bila hivyo duuuh jobless anamaamuzi yake aiseeππππeeeh mzee aanze kutukaba hahhhh akapige interview tu kama nauli ipo Hawa utumishi hawataki hasira
Subiri pdf mzee acha presha kwani ilikuwa Post ya TA??Ninaowajua wote hawajaitwa, pia Kuna kada nyingine tatu tulipiga nao matokeo hayajatoka
Sichezei hela kitoto, niende tena nitumie 200000 halafu no placement?! HapanaππππNa wala hawajili yani ukisusa nawenyewe hawakuulizi yani
Yani ukitaka kuwaweza utumishi ondoe ile hali yakukata tamaa mbona utawatwanga utumishi mpaka uchokeJamaa anaitaji counseling kidogo ya kuhusu ajira na kutoboa ...bila hivyo duuuh jobless anamaamuzi yake aisee
Muhimu sana sahv ukipita kwenda oral ukifika asubuhi tu ni kuchukua pen na karatasi unaandika namba zao Fasta,,kwa kuulizia umesikia muito au hakunaSema hili Jambo la kuwa na namba za wenzako kwenye usaili ni muhimu sana kwasasa
Sasa ubaki nyumbani bila kuwa unafanya interview yoyote hyo kazi utapataje??Sichezei hela kitoto, niende tena nitumie 200000 halafu no placement?! Hapana
Ngojea na wewe usubiri placement mpaka April mwakani Kama hujaomba counseling!!!!!Yani ukitaka kuwaweza utumishi ondoe ile hali yakukata tamaa mbona utawatwanga utumishi mpaka uchoke
Yes yesMuhimu sana sahv ukipita kwenda oral ukifika asubuhi tu ni kuchukua pen na karatasi unaandika namba zao Fasta,,kwa kuulizia umesikia muito au hakuna
Kabisa marufuku kukata tamaaYani ukitaka kuwaweza utumishi ondoe ile hali yakukata tamaa mbona utawatwanga utumishi mpaka uchoke
Unanishauri niwe napiga interview bila placement?!!!!Sasa ubaki nyumbani bila kuwa unafanya interview yoyote hyo kazi utapataje??