Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Mkopo umiza riba mwisho asilimia 30 ua haizidi, riba nyingi no 12% mpaka 15%
 
Mkopo umiza riba mwisho asilimia 30 ua haizidi, riba nyingi no 12% mpaka 15%
Sasa mkuu tukikokotoa hapo MTU akikopa 10m riba ya 15 % Kwa mwaka anatakiwa alipe 1.5m Kwa miaka Saba akatua kalipa 10m na laki tano aiseee yani benki wakupe million 10 ndani ya miaka Saba wapate faida ya laki tano tu sawa mkuu 🤣🤣🤣🤣
 
Million na nusu kwa mwaka hata 150000 kwa mwezi haifiki!!! Huwezi kukataa hela kwa hesabu hizi
 
Hamna hicho kitu..unaweza kopa 20m mpaka miaka 7 unajikuta umelipa 35
 
Hiii sawa Sasa mkuu hapo juu anasema riba ya asalimia 15 ndo nawaza wanakokotoa vip hii riba
Unajua wanavyokupa ile % unavutiwa lakini wengi wanakopa wakidhani analipa Ile asilimia lakini hesabu haziwi vile ukipiga total kabisa mwishoni unajua umelipa Hela nyingi sana,ni vile tu wengi hawafeel maumivu kwakua Hela inakatwa juu kwa juu
 
😂😂😂😂Wanaona huyu anaweza kutupa laini tukimudai
 
Unajua wanavyokupa ile % unavutiwa lakini wengi wanakopa wakidhani analipa Ile asilimia lakini hesabu haziwi vile ukipiga total kabisa mwishoni unajua umelipa Hela nyingi sana,ni vile tu wengi hawafeel maumivu kwakua Hela inakatwa juu kwa juu
Mkopo kama huna tegemezi achana nao tu na kama unataka ufanye biashara basi uwe na mke ndo asimamie biashara tofauti na hapo tulia save tu Baada ya miaka 5 unakuaa na kitu
 
😂😂😂😂Sasa tutanunuaje Subaru mzee
3yr ya kusave mzeee ndo Subaru ije mkuu ukikopa hapo wawe wanakukata 370k kila mwezi +100k ya bodi ya mkopo kama una mkopo kwenye 1m Yako Ile utabaki na 600k unaweza iona kubwa toa 100k ya Kodi mzee toa ya msosi Tena then Sasa uje kwenye Hela ya mafuta ya gari 20k kila day Hilo gari huwezi liendesha kila siku mkuu ndo maana watu wengi wanayaendesha siku wanaenda kula Bata🤣 unaowaona wanadrive kila siku ndo wale wenye mishahara ya 3m kawaida sana huyu hata kubaki na 2m kila mwezi then 600k ya mafuta mwezi mzima anatoa tu ukitaka uende naye sawa uwe huna mkopo benki 🤣🤣🤣
 
😂😂😂😂😂daaah sio poa aseeeh
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…