Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Yes wiki ijayo zitatoka chache tu subiri ile jtatu ya wiki nyingine
naam naam
mwezi huu hawawezi kutoa zaidi ya hapo walipotoa (ukiangalia trend zao huwa hawazidi placement zaidi ya tatu kwa mwezi)

ila mimi nachojiuliza (nirekebishwe kama nimekosea)

mchakato wa psrs ni kuwa waajiri wanapeleka maombi ya nafasi kadhaa ili psrs watafute wahusika kisha wawapeleke taasisi husika
na mshahara wanalipa psrs au taasisi

kama ni swala la bajeti kwa nini wao psrs wakishapata watu wasitoe tu majina ya placement mtu akifika huko alipopangiwa taasisi ndo imuambie bajeti hakuna njoo baada ya muda flani au subiri tutakuita??

kwa nn psrs wanakaa na majibu ya interview bila kutoa kwa muda mrefu sana!!?/
 
H Mkuu hizi zote ni taasisi za serikali so Wana mawasiliano asilimia 90 kama sio 100 Ukiona hawajatoa placement jua wote wamekubaliana hivyo taasisi yenye haraka ya watu ni simple tu kuwaambia psrs tupeni watu wetu tunataka waanze kazi psrs hawezi kataa so hapa unaweza wapa lawama utumishi kumbe shida taasisi husika zimeshatuma taarifa kuwa subri kidogo huku mambo hayapo sawa
 
sawa sawa shukran
 
Tunakuwa tunaongelea kitu kimoja kila siku mkuu walishasema watu wasibiri ata ukiuliza ni swali lilishaulizwa tayar cha msingi vuta subra tuu
asante mkuu

ila hii mambo ya subira kwa sisi wahenga inatukumbusha mbali sana kwa gwiji mr ebbo
naomba nimnukuu:

"...Subiri yavuta kheri nani ilieleza wao? Subiri nachelewesha vitu ya maendeleo. Ningetaka subira kama njaa ipo subira!..." #Manenombofumbofu
 
Mshahara unalipwa na taasisi mzee
Hiyo nyingine kuchelewesha nafikiri wanachelewesha tu ili tuheshimiane mtaaniπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚Maana zamani ilikuwa wiki tatu hazipiti pdf inatoka
 
Ps
Rs hawalipi mwajiriwa mshahara mzee
 
Mie mwyewe huwa na hisi hivi ,huenda kuna baadhi ya taasisi,,zinakuwa hazina uharaka na watu wao,,na zingne Zina uharaka na watu wao hvyo wanatoa mapema sana ....sijui hisia zetu zipo sahihi au ndo Ile watu walishapigiwa kitambo,??[emoji23][emoji23]
 
Mie mwyewe huwa na hisi hivi ,huenda kuna baadhi ya taasisi,,zinakuwa hazina uharaka na watu wao,,na zingne Zina uharaka na watu wao hvyo wanatoa mapema sana ....sijui hisia zetu zipo sahihi au ndo Ile watu walishapigiwa kitambo,??[emoji23][emoji23]
Upo sawa mkuu πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚Chamuhimu uone shortlisted hahhh
 
Kulikuwa na umuhimu gani sasa wa kutangaza ajira mapima kama hawana uhitaji wa haraka
 
Upo sawa mkuu [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Chamuhimu uone shortlisted hahhh
Shortlisted muhimu sana bro[emoji23][emoji23][emoji23] ,,huwezi jua ya mbeleni ,,,unaweza kosa hii ukaangukia taasisi ingne ,,na ukatabasamu .... Kuna jamaa angu mmoja hv alifanyaga oral ya NHC bhana mwezi wa nne ,,kumbe alifaulu lkn hakupata lkn kaendelea na issue zingine mwezi wa 9 trh 27 pdf ikatema ya placement ya taasisi mbalimbal,katika kuichungulia nikakuta mwamba kala shavu halmashauri mmoja hv ,,jamaa nilimwambia akawa ka haamini hv ni kwel au ni vp ,,kwa hyo mwamba yupo kazini now na TGS E yake ,,huku pia akiwa amemalizia masters yake UD...maisha haya hayana formula aisee
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…