Genuine raf
JF-Expert Member
- Jun 17, 2022
- 673
- 1,804
Namuulizia dogo anafanya kesho ana usaili aliniomba muda nikasahau ujobless tabu sanaKachelewa sana kuuliza watu watakuwa bize na kusoma πππ
Ngoja nitafute mkuuNiliona mdau katuma hapa(kama sijakosea), alikuwa ameandika kwenye karatasi akatuma picha,tafuta utayaona.
Pia pitia ule uzi wa maswali unaweza kuokota machache
Ndio maana oral inatokea na jinsi siku hyo wakandaji wamekupiga maswali mule mule ,ulipijiandaa kuna uhakika nawe ukajibu angalau mule mule.... Ndio maana humu tunajaribu kubadilishana uzoefu wa maswali ya oral ili ikitokea upo oral bahati ukuangukie ....MARUFUKU KUKATA TAMAA HAKUNA AIJUAYE KESHO wananguInauma unafika oral na hutuboi dah maana kufika orala nyingne ni jambo gumu
Ndio hivyo mkuu, ukipata chance ya kwenda oral pigania angalau ubaki kanzidataTusife moyo mwanangu Mwifwa ndio Maana tunasema ukibahatika kwenda oral ,jitahidi kutoboa au ikishindikana ndio tuangukie kanzidata ...japo muda mwingine usahili inategemeana na jinsi ulivyojiandaa na jinsi maswali uliyokutanayo na kuyakanda kwa kofindensi ,,ili ikitokea Upo kanzidata una marks nyingi iwe rahisi kutoboa siku za usoni ,,tujitahidi sana aisee
Uko sahihi mkuuUjobless umenichosha jamani dah[emoji22][emoji22]
Kuomba tu mungu maana mule unawez kukutana na maswli magumu ukshindwa kujibu kwa usahihiNdio hivyo mkuu, ukipata chance ya kwenda oral pigania angalau ubaki kanzidata
Ndio hivyo mkuu, ukipata chance ya kwenda oral pigania angalau ubaki kanzidata
Kuomba tu mungu maana mule unawez kukutana na maswli magumu ukshindwa kujibu kwa usahihi
Wewe ukifika udom utaulizia hiyo college of business studies and lawWapambanaje wenzangu naomba mnipe direction hii kumbi inaitwa 'Udom- CBSL THEATRE 2" niko na jambo langu hapo kesho.
Mbarikiwe sana wapambanaji
Kila la kherimWapambanaje wenzangu naomba mnipe direction hii kumbi inaitwa 'Udom- CBSL THEATRE 2" niko na jambo langu hapo kesho.
Mbarikiwe sana wapambanaji
SaadaWakuu any ideas ya maswali ya written admission officer,msaada kwenye tuta
Hayo kwa muda tu, wenzio umetuacha kubaya sanaToka nipate placement nikaacha kabisa kupiga vibarua(saidia fundi)π€£π€£π€£ + kuzunguka site kufunga camera na network (Kwa mhindi) mwanzo nilikua nimekomaa sana mikono miezi 2+ Sasa siendi Mishe akiba yangu inaenda na maji Sasa nimekua soft, mzembe sana kitambi kama chote now nikibeba maji ndoo mbili Nahema sana mhindi amenipigia sana simu namwambia nipo mkononi narudia tarehe 30 jamaaa zangu mafundi nao michongo inapumua Kwa shida sikukuuu watu wamestop kujenga π€£ Sasa Kwa kua Hela inaenda kuisha tarehe 1 nitamtafta huyu kanjibai nimwambie nipo town now niende kuhangaika na cable hukoπ’π’ kesho naanza kukimbia na kufanya mazoezi nimekuwa mdebwedo sana haya mambo ya tutakupigia simu yakijinga sanaπ’
UhakikaWenye written kesho wote Kila heri,mkawakande sana hao psrs
Kesho una pepa mzeee?Uhakika
ππππNdio mzee nipo kikaangoni keshoKesho una pepa mzeee?
Kaongeze shortlisted za kutosha baba Jeniπ€£π€£π€£ππππNdio mzee nipo kikaangoni kesho
ππππUhakika mwaka huu mpaka wanieleze walikoweka ajira ni wapiKaongeze shortlisted za kutosha baba Jeniπ€£π€£π€£
[emoji23][emoji23][emoji23] we Nani teeeena[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Uhakika mwaka huu mpaka wanieleze walikoweka ajira ni wapi
Jipange Kabla Ya J3 Ya Kwanza Ya December Utapewa maelekezo Lini Unazee kibarua cha utumishi.Inshort mwezi wa 12 Mnanzaa kazi Wenye Barua mkononi.Toka nipate placement nikaacha kabisa kupiga vibarua(saidia fundi)π€£π€£π€£ + kuzunguka site kufunga camera na network (Kwa mhindi) mwanzo nilikua nimekomaa sana mikono miezi 2+ Sasa siendi Mishe akiba yangu inaenda na maji Sasa nimekua soft, mzembe sana kitambi kama chote now nikibeba maji ndoo mbili Nahema sana mhindi amenipigia sana simu namwambia nipo mkononi narudia tarehe 30 jamaaa zangu mafundi nao michongo inapumua Kwa shida sikukuuu watu wamestop kujenga π€£ Sasa Kwa kua Hela inaenda kuisha tarehe 1 nitamtafta huyu kanjibai nimwambie nipo town now niende kuhangaika na cable hukoπ’π’ kesho naanza kukimbia na kufanya mazoezi nimekuwa mdebwedo sana haya mambo ya tutakupigia simu yakijinga sanaπ’
Unataka kuwakanda utumishi kwa dk 40 Halaf ukawakande kwa kofindensi kweny uso kwa uso [emoji23][emoji23] watakubali mwaka huu Ambapo tunaelekea mwishoni mwishoni ndio tunafunga HESABU za ujobless [emoji3][emoji3][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Uhakika mwaka huu mpaka wanieleze walikoweka ajira ni wapi