[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Nauli ya ndege hadi Dom bei gani[emoji23][emoji23]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Usichoke mwanangu neema yaja wakati mwengine unashtua kidogo hizi shida hata kuvaa vizuri na kwenda showroom kulizia hata bei ya V8[emoji23] unaushtua kidogo hizi shida zetu
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Hahaha! Mkuu utasababisha jobless wanaswe makofi huko kwenye showrooms.
Ukituliza akili ukamwangalia jobless machoni kwa umakini, unamjua tu.
Shida zina mbinu nyingi za kujiibua, hata ukitumia nguvu kuzificha.
(tunataniana siku ziende, tusichukulie serious).
Ukiwa huna hela utashangaa hata showroom unazuiwa[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Kumekucha Jobless, hakuna weekend kwa jobless, tuendelee kujichanganya vijiweni
Hahaha noma sana aiseeUkiwa huna hela utashangaa hata showroom unazuiwa
Nakubaliana na ww mkuu.. Jana nimefanya pepa.. inabidi uchanganye akili sio kitongo..Kwa uzoefu nilioupata written interview za psrs zinasimama sana. Ukipita written unakuwa na nafasi kubwa ya kutoboa oral.
Tuombe uzima jmosi watatoa next weekHivi ni kweliii week inayoanza kesho itaisha bila placement kweli ๐ฃ
Upo sahihi mkuuKwa uzoefu nilioupata written interview za psrs zinasimama sana. Ukipita written unakuwa na nafasi kubwa ya kutoboa oral.
Pepa za jana aseeh acha kabisaNakubaliana na ww mkuu.. Jana nimefanya pepa.. inabidi uchanganye akili sio kitongo..
But tutapambananao hvyohvyo Hadi kieleweke
Wizy naona majibu washatuma kwa Account..Mikando inaendelea๐ค๐คPepa za jana aseeh acha kabisa
Laboratory scientist wa mechanics wametolea zile auxiliary pump na haydraulic machine ๐๐๐๐๐aseeh acheni haya mambo
Nina imani week haitaenda bureeeTuombe uzima jmosi watatoa next week
Wewe umetumiwa?Wizy naona majibu washatuma kwa Account..Mikando inaendelea[emoji851][emoji851]
Haiwezekani hilo maana nafasi ni chache kuliko wasahiliwaMARA PLACEMENT INATOKA HALAFU WOTE NDANI!
Wizy naona majibu washatuma kwa Account..Mikando inaendelea๐ค๐ค
Nishakandwa boss.. kesho narudia MjiniHaiwezekani hilo maana nafasi ni chache kuliko wasahiliwa
Haiwezekani hilo maana nafasi ni chache kuliko wasahiliwa