billionea alpha
JF-Expert Member
- Apr 10, 2014
- 1,443
- 1,656
Hapo sawa kaka nimekupata...CPA(T) iliwabeba na walikua wachache kulinganisha na nafasi.
Hahahahaha!Ngoja nisome jamani, dakika 40 za mule Ndani ,Siyo kabisa kama ukujiandaa..[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ngoja uende zikakukande ndo utajua zipo au vipi
😂😂😂😂Unaweza kulia mule ndaniHahahahaha!Ngoja nisome jamani, dakika 40 za mule Ndani ,Siyo kabisa kama ukujiandaa..
Sana aisee -yaani unafikiria hela ulizo poteza kufika kwenye mkando, then wanakufanya kama Mandonga mtu kazi.Swali la pili tuu , unaanza unasikia kusanya muda umekwisha..[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Unaweza kulia mule ndani
Hongera sana mkuu nimejikuta nina furaha mno kila jema kwakoNaomba kutoa ushuhuda.
Mwaka jana na huu mzima nilikua nikipambania mrija wa asali.
Kuzunguka mikoa kadhaa ya hapa Tanzania kufanya interview mbalimbali
zote nilikosa/kufeli
Mwaka huu nilifanya interview za utumishi kadhaa, nilikosa na baadhi niliingia oral
Na leo hii mojawapo Mungu kabariki nimepata placement.
Unapofika kwenye ile mitihani ya written jaribu sana kujibu maswali yote, elezea na point zako, usimention tu. Ukifika oral pia vaa vizuri, jielezee kwa confidence, jibu maswali yote, zidi kuomba sana.
ni kweli watumishi wanachelewa kutoa placement ila wakitoa machungu yote unasahau asee
Wakuu msichoke kujaribu na kuomba asee. Mungu ni mwema siku zote atawabarikia.
Siri kubwa ipo humu wakuu : Ora et labora yaani pray and work
NOTE: lile swala la shortlisted, mimi taasisi niliyochaguliwa iliandika shortlisted mpaka sasa
zile nilizokosa zimeandika selected for oral interview
View attachment 2431134
Kwa sisi hapa tulikua wadada watatu kati ya 6, nafasi zilikua ni mbili, kada ya Laboratory Scientist. Eti probability unaona imekaa vipi hapo aisee[emoji28]Wadada walikua wangapi na post zilikua ngapi?
Okay nilikosea tu kwenye uandishi, asante kwa kunisahihisha.Cha muhimu nenda na mtoto na mtu wa kubaki naye Muda ukiwa isolated. Pia waeleze una mtoto mdogo unaomba uwe wa kwanza kufanyiwa usaili watakupa nafasi.
Wanawake mko wangapi katika hao 6? Usiseme nimepita oral SEMA nimefanikiwa kuchaguliwa kuingia oral na sio kupita oral.
Zote zinachukuliwa na wadada hizo nafasiOkay nilikosea tu kwenye uandishi, asante kwa kunisahihisha.
Wanawake tulikua watatu, post inahitaji watu wawili
Wanaume tumeumbwa matesooo matesooo kuhangaikaa🎶🎶🎵🎵😄😄Zote zinachukuliwa na wadada hizo nafasi
Haha haha [emoji2][emoji2] " mara baada ya kuitwa oral, nilikutana na wanawake kwenye post yangu,, nikajipa moyo nitawakandaaa ,,kumbe cjui watanikanda kindoige...oooohh jamani ninateseka na wanawake kwenye oraaal,,ooh wanaume tumeumbwa matesoooo,matesoo kutoboa,,"" [emoji445][emoji445][emoji444][emoji444][emoji17] Genuine raf wizyWanaume tumeumbwa matesooo matesooo kuhangaikaa[emoji445][emoji445][emoji444][emoji444][emoji1][emoji1]
Omba mungu wavurunde 🤣🤣🤣 lkn vingnevyo sjui uwapite vimarks 2 ah umeliwa mzee 🤣🤣 wadada haooo kwenye mrija wa asaliHaha haha [emoji2][emoji2] " mara baada ya kuitwa oral, nilikutana na wanawake kwenye post yangu,, nikajipa moyo nitawakandaaa ,,kumbe cjui watanikanda kindoige...oooohh jamani ninateseka na wanawake kwenye oraaal,,ooh wanaume tumeumbwa matesoooo,matesoo kutoboa,,"" [emoji445][emoji445][emoji444][emoji444][emoji17] Genuine raf wizy
Kwa hyo wakifanya vibaya kidogo possibility ipo kutoboa ?? Kuliko me alijitahidi kujibu vzrLbda wafnye vbay sana...lkn ni ngumu wote wa 3 kuvurunda...it is their time now mzee huo ndo uhalisia
Yah wafnye vbya hao wadada na ww ufnye vzr yn gepu liwe kubwa vinginevyo lzm uachie mrija kwa wadada mzeeKwa hyo wakifanya vibaya kidogo possibility ipo kutoboa ?? Kuliko me alijitahidi kujibu vzr
Kumbe ukiwapita vimarks vichache oral ,wanapewa kipaumbele zaidi,hata kama imewapiga [emoji28][emoji28]Omba mungu wavurunde [emoji1787][emoji1787][emoji1787] lkn vingnevyo sjui uwapite vimarks 2 ah umeliwa mzee [emoji1787][emoji1787] wadada haooo kwenye mrija wa asali
Dadekiiii ,, nipe song la mateso bhnA [emoji22][emoji22]Hiyo ndo sera ya 50 50 ni ajenda inapewa kipaumbele this time
Mungu ametenda kila la kheri kakaNaomba kutoa ushuhuda.
Mwaka jana na huu mzima nilikua nikipambania mrija wa asali.
Kuzunguka mikoa kadhaa ya hapa Tanzania kufanya interview mbalimbali
zote nilikosa/kufeli
Mwaka huu nilifanya interview za utumishi kadhaa, nilikosa na baadhi niliingia oral
Na leo hii mojawapo Mungu kabariki nimepata placement.
Unapofika kwenye ile mitihani ya written jaribu sana kujibu maswali yote, elezea na point zako, usimention tu. Ukifika oral pia vaa vizuri, jielezee kwa confidence, jibu maswali yote, zidi kuomba sana.
ni kweli watumishi wanachelewa kutoa placement ila wakitoa machungu yote unasahau asee
Wakuu msichoke kujaribu na kuomba asee. Mungu ni mwema siku zote atawabarikia.
Siri kubwa ipo humu wakuu : Ora et labora yaani pray and work
NOTE: lile swala la shortlisted, mimi taasisi niliyochaguliwa iliandika shortlisted mpaka sasa
zile nilizokosa zimeandika selected for oral interview
View attachment 2431134