Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Naomba kutoa ushuhuda.

Mwaka jana na huu mzima nilikua nikipambania mrija wa asali.

Kuzunguka mikoa kadhaa ya hapa Tanzania kufanya interview mbalimbali

zote nilikosa/kufeli

Mwaka huu nilifanya interview za utumishi kadhaa, nilikosa na baadhi niliingia oral

Na leo hii mojawapo Mungu kabariki nimepata placement.

Unapofika kwenye ile mitihani ya written jaribu sana kujibu maswali yote, elezea na point zako, usimention tu. Ukifika oral pia vaa vizuri, jielezee kwa confidence, jibu maswali yote, zidi kuomba sana.

ni kweli watumishi wanachelewa kutoa placement ila wakitoa machungu yote unasahau asee



Wakuu msichoke kujaribu na kuomba asee. Mungu ni mwema siku zote atawabarikia.

Siri kubwa ipo humu wakuu : Ora et labora yaani pray and work

NOTE: lile swala la shortlisted, mimi taasisi niliyochaguliwa iliandika shortlisted mpaka sasa
zile nilizokosa zimeandika selected for oral interview




View attachment 2431134
Hongera sana mkuu nimejikuta nina furaha mno kila jema kwako
 
Cha muhimu nenda na mtoto na mtu wa kubaki naye Muda ukiwa isolated. Pia waeleze una mtoto mdogo unaomba uwe wa kwanza kufanyiwa usaili watakupa nafasi.
Wanawake mko wangapi katika hao 6? Usiseme nimepita oral SEMA nimefanikiwa kuchaguliwa kuingia oral na sio kupita oral.
Okay nilikosea tu kwenye uandishi, asante kwa kunisahihisha.
Wanawake tulikua watatu, post inahitaji watu wawili
 
Wanaume tumeumbwa matesooo matesooo kuhangaikaa[emoji445][emoji445][emoji444][emoji444][emoji1][emoji1]
Haha haha [emoji2][emoji2] " mara baada ya kuitwa oral, nilikutana na wanawake kwenye post yangu,, nikajipa moyo nitawakandaaa ,,kumbe cjui watanikanda kindoige...oooohh jamani ninateseka na wanawake kwenye oraaal,,ooh wanaume tumeumbwa matesoooo,matesoo kutoboa,,"" [emoji445][emoji445][emoji444][emoji444][emoji17] Genuine raf wizy
 
Haha haha [emoji2][emoji2] " mara baada ya kuitwa oral, nilikutana na wanawake kwenye post yangu,, nikajipa moyo nitawakandaaa ,,kumbe cjui watanikanda kindoige...oooohh jamani ninateseka na wanawake kwenye oraaal,,ooh wanaume tumeumbwa matesoooo,matesoo kutoboa,,"" [emoji445][emoji445][emoji444][emoji444][emoji17] Genuine raf wizy
Omba mungu wavurunde 🤣🤣🤣 lkn vingnevyo sjui uwapite vimarks 2 ah umeliwa mzee 🤣🤣 wadada haooo kwenye mrija wa asali
 
Naomba kutoa ushuhuda.

Mwaka jana na huu mzima nilikua nikipambania mrija wa asali.

Kuzunguka mikoa kadhaa ya hapa Tanzania kufanya interview mbalimbali

zote nilikosa/kufeli

Mwaka huu nilifanya interview za utumishi kadhaa, nilikosa na baadhi niliingia oral

Na leo hii mojawapo Mungu kabariki nimepata placement.

Unapofika kwenye ile mitihani ya written jaribu sana kujibu maswali yote, elezea na point zako, usimention tu. Ukifika oral pia vaa vizuri, jielezee kwa confidence, jibu maswali yote, zidi kuomba sana.

ni kweli watumishi wanachelewa kutoa placement ila wakitoa machungu yote unasahau asee



Wakuu msichoke kujaribu na kuomba asee. Mungu ni mwema siku zote atawabarikia.

Siri kubwa ipo humu wakuu : Ora et labora yaani pray and work

NOTE: lile swala la shortlisted, mimi taasisi niliyochaguliwa iliandika shortlisted mpaka sasa
zile nilizokosa zimeandika selected for oral interview




View attachment 2431134
Mungu ametenda kila la kheri kaka
 
Back
Top Bottom