Website ndio mpango mzima wa status,[emoji28][emoji28][emoji28] sio app ,,,au VP ?,[emoji22][emoji22]Kaka wewe umeumaliza wewe hii ya shortlisted tuachie sisi huku tubishane sasa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]hahhhhh
Hongera sana mkuu kwa kupata access ya mrija wa Asali.Naomba kutoa ushuhuda.
Mwaka jana na huu mzima nilikua nikipambania mrija wa asali.
Kuzunguka mikoa kadhaa ya hapa Tanzania kufanya interview mbalimbali
zote nilikosa/kufeli
Mwaka huu nilifanya interview za utumishi kadhaa, nilikosa na baadhi niliingia oral
Na leo hii mojawapo Mungu kabariki nimepata placement.
Unapofika kwenye ile mitihani ya written jaribu sana kujibu maswali yote, elezea na point zako, usimention tu. Ukifika oral pia vaa vizuri, jielezee kwa confidence, jibu maswali yote, zidi kuomba sana.
ni kweli watumishi wanachelewa kutoa placement ila wakitoa machungu yote unasahau asee
Wakuu msichoke kujaribu na kuomba asee. Mungu ni mwema siku zote atawabarikia.
Siri kubwa ipo humu wakuu : Ora et labora yaani pray and work
NOTE: lile swala la shortlisted, mimi taasisi niliyochaguliwa iliandika shortlisted mpaka sasa
zile nilizokosa zimeandika selected for oral interview
View attachment 2431134
Sometimes inachukua muda mrefu sana kubadirika kutoka oral kwenda shortlisted kua na SUBIRA sanaAisee wazee wa shortlisted mmeshinda...sie wa selected for oral tuendlee kupambana wakati wetu bado
Kwa hiyo suti ipo standby ama?[emoji122][emoji122][emoji122][emoji122]Ukawe mtumishi bora kiongozi hence confirmed shortlisted=placement or data base
Selected for oral=baba jeni bye bye[emoji23][emoji23][emoji23] nayeyuka huku nikiweweseka kiwendawazimu mamaeeeee
Mmh muda umepita mrefu sema mim nilifanya saili 3 wrtten,pract na oral sijapta bado ushahidi wa uhakika kwmba na sisi pia hua status inabdilika kwenda shortlisted au inabakia selected for oralSo
Sometimes inachukua muda mrefu sana kubadirika kutoka oral kwenda shortlisted kua na SUBIRA sana
Ushuhuda kama huu nitautoa nikiwa baharini napishana na samaki!!Naomba kutoa ushuhuda.
Mwaka jana na huu mzima nilikua nikipambania mrija wa asali.
Kuzunguka mikoa kadhaa ya hapa Tanzania kufanya interview mbalimbali
zote nilikosa/kufeli
Mwaka huu nilifanya interview za utumishi kadhaa, nilikosa na baadhi niliingia oral
Na leo hii mojawapo Mungu kabariki nimepata placement.
Unapofika kwenye ile mitihani ya written jaribu sana kujibu maswali yote, elezea na point zako, usimention tu. Ukifika oral pia vaa vizuri, jielezee kwa confidence, jibu maswali yote, zidi kuomba sana.
ni kweli watumishi wanachelewa kutoa placement ila wakitoa machungu yote unasahau asee
Wakuu msichoke kujaribu na kuomba asee. Mungu ni mwema siku zote atawabarikia.
Siri kubwa ipo humu wakuu : Ora et labora yaani pray and work
NOTE: lile swala la shortlisted, mimi taasisi niliyochaguliwa iliandika shortlisted mpaka sasa
zile nilizokosa zimeandika selected for oral interview
View attachment 2431134
Ile kuanza kubana karatasi muda mfupi baada ya kuanza huwa inaniboa sana.Sana aisee -yaani unafikiria hela ulizo poteza kufika kwenye mkando, then wanakufanya kama Mandonga mtu kazi.Swali la pili tuu , unaanza unasikia kusanya muda umekwisha..
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28] wizy mzee wa status unconclode [emoji28][emoji28] Shortlisted=mrija wa asali au benchi[emoji122][emoji122][emoji122][emoji122]Ukawe mtumishi bora kiongozi hence confirmed shortlisted=placement or data base
Selected for oral=baba jeni bye bye[emoji23][emoji23][emoji23] nayeyuka huku nikiweweseka kiwendawazimu mamaeeeee
Amini kaka kua na subiraMmh muda umepita mrefu sema mim nilifanya saili 3 wrtten,pract na oral sijapta bado ushahidi wa uhakika kwmba na sisi pia hua status inabdilika kwenda shortlisted au inabakia selected for oral
Saw kk acha tuendelee na subira huku tukuzidi kumuomba munguAmini kaka kua na subira
OYA UKISHAANZA KAZI UNIAMBIE maana Kuna watu wanataka kunitania mamaeeee zaoNaomba kutoa ushuhuda.
Mwaka jana na huu mzima nilikua nikipambania mrija wa asali.
Kuzunguka mikoa kadhaa ya hapa Tanzania kufanya interview mbalimbali
zote nilikosa/kufeli
Mwaka huu nilifanya interview za utumishi kadhaa, nilikosa na baadhi niliingia oral
Na leo hii mojawapo Mungu kabariki nimepata placement.
Unapofika kwenye ile mitihani ya written jaribu sana kujibu maswali yote, elezea na point zako, usimention tu. Ukifika oral pia vaa vizuri, jielezee kwa confidence, jibu maswali yote, zidi kuomba sana.
ni kweli watumishi wanachelewa kutoa placement ila wakitoa machungu yote unasahau asee
Wakuu msichoke kujaribu na kuomba asee. Mungu ni mwema siku zote atawabarikia.
Siri kubwa ipo humu wakuu : Ora et labora yaani pray and work
NOTE: lile swala la shortlisted, mimi taasisi niliyochaguliwa iliandika shortlisted mpaka sasa
zile nilizokosa zimeandika selected for oral interview
View attachment 2431134
Mungu ametenda.[emoji119]Naomba kutoa ushuhuda.
Mwaka jana na huu mzima nilikua nikipambania mrija wa asali.
Kuzunguka mikoa kadhaa ya hapa Tanzania kufanya interview mbalimbali
zote nilikosa/kufeli
Mwaka huu nilifanya interview za utumishi kadhaa, nilikosa na baadhi niliingia oral
Na leo hii mojawapo Mungu kabariki nimepata placement.
Unapofika kwenye ile mitihani ya written jaribu sana kujibu maswali yote, elezea na point zako, usimention tu. Ukifika oral pia vaa vizuri, jielezee kwa confidence, jibu maswali yote, zidi kuomba sana.
ni kweli watumishi wanachelewa kutoa placement ila wakitoa machungu yote unasahau asee
Wakuu msichoke kujaribu na kuomba asee. Mungu ni mwema siku zote atawabarikia.
Siri kubwa ipo humu wakuu : Ora et labora yaani pray and work
NOTE: lile swala la shortlisted, mimi taasisi niliyochaguliwa iliandika shortlisted mpaka sasa
zile nilizokosa zimeandika selected for oral interview
View attachment 2431134
Maswali ya ORAL
KADA YA LABORATORY TECHNOLOGIST ASSISTANT TO ACADEMICIAN
MWAJILI:SUA
1.Tell us about your education background and professional experience briefly?
2.What are the important things are to be included in laboratory result? 5 points
3.Why is important for laboratory to be clean all the time?5 points
4.What challenges do you expect for the post you are applying for?5 points
5.How will you maintain the equipment in the laboratory?5 points
Hongera sanaNaomba kutoa ushuhuda.
Mwaka jana na huu mzima nilikua nikipambania mrija wa asali.
Kuzunguka mikoa kadhaa ya hapa Tanzania kufanya interview mbalimbali
zote nilikosa/kufeli
Mwaka huu nilifanya interview za utumishi kadhaa, nilikosa na baadhi niliingia oral
Na leo hii mojawapo Mungu kabariki nimepata placement.
Unapofika kwenye ile mitihani ya written jaribu sana kujibu maswali yote, elezea na point zako, usimention tu. Ukifika oral pia vaa vizuri, jielezee kwa confidence, jibu maswali yote, zidi kuomba sana.
ni kweli watumishi wanachelewa kutoa placement ila wakitoa machungu yote unasahau asee
Wakuu msichoke kujaribu na kuomba asee. Mungu ni mwema siku zote atawabarikia.
Siri kubwa ipo humu wakuu : Ora et labora yaani pray and work
NOTE: lile swala la shortlisted, mimi taasisi niliyochaguliwa iliandika shortlisted mpaka sasa
zile nilizokosa zimeandika selected for oral interview
View attachment 2431134
πππππKaka unataka ukawapige au hahhhh wiki ijayo unaenda kaziniOYA UKISHAANZA KAZI UNIAMBIE maana Kuna watu wanataka kunitania mamaeeee zao
Hahahahaha!Nafikiri sasa mkando uwe wa haki, yaan mtu unapewa muda wa kutosha kufanya mtihani.Ukishindwa umeshindwa mwenyewe ...Ile kuanza kubana karatasi muda mfupi baada ya kuanza huwa inaniboa sana.
Unakuta upo swali la pili, ghafla unaona stepla inaanza kutembezwa[emoji3][emoji3][emoji3]
Mkuu swali la challenge linatubeba sana mzee na ukitoa na solution ujue umefaulu mzee kwasababu unaajiriwa ili usolve matatizo kaziniToofast
Majibu VP kwa mtazamo wako kk jinsi ya kujibu
Mfn ..KWA UELEWA WANGU MDOGO ingekuwa mimi majibu ya maswali
1.linaeleweka utaje holder yako , experience iliyoifanya, skills ulizonazo, na jinsi ulivyo tayari kwa kazi kuleta matokeo ndani ya taasisi
2. Ninge mention point 5 (angalizo jinsi akili au uwezo wako hapa ss ,,unaweza kukuta unajibu mbili nyingine za kutafuta kwa tochi na zisionekane au zionekane)
3.Hili ni kutoa 5 points na kuelezea ,,linahitaji explaination of 5 points( itategemeana na point ulizonazo kichwani kwa wakati huo ilikuakikisha unapoint 5 sio poa )
4. mention 5 challenges nazotarajia kukutanazo ( kwa mimi nitajiongeza ningemention challenge moja moja na maelezo kidogo na jinsi ya kuikabili au kuitatua changamoto ,hata kama nitataja point 3 au 4 .. jaribu kuonesha utofauti na candidates wengine kwenye kujibu
5.kutoa njia 5 za kumaintain pengine unaweza kuelezea jinsi ya kufanya kazi (depend na ability yako ya kujibu ipoje na kuelewa swali)
U did Ur work and Almighty God did the rest (prayer change things in mysterious way) [emoji123][emoji123] tunashukuru kwa ushuhuda Myunani wa II kama hutojali tusaidie experience yako ulivyojibugu maswali ya oral vzr angalau jobless tupate vitu vya kuongeza regardless ni taaluma tofauti tofauti ila inatusaidia wasakatonge wenzio ,Naomba kutoa ushuhuda.
Mwaka jana na huu mzima nilikua nikipambania mrija wa asali.
Kuzunguka mikoa kadhaa ya hapa Tanzania kufanya interview mbalimbali
zote nilikosa/kufeli
Mwaka huu nilifanya interview za utumishi kadhaa, nilikosa na baadhi niliingia oral
Na leo hii mojawapo Mungu kabariki nimepata placement.
Unapofika kwenye ile mitihani ya written jaribu sana kujibu maswali yote, elezea na point zako, usimention tu. Ukifika oral pia vaa vizuri, jielezee kwa confidence, jibu maswali yote, zidi kuomba sana.
ni kweli watumishi wanachelewa kutoa placement ila wakitoa machungu yote unasahau asee
Wakuu msichoke kujaribu na kuomba asee. Mungu ni mwema siku zote atawabarikia.
Siri kubwa ipo humu wakuu : Ora et labora yaani pray and work
NOTE: lile swala la shortlisted, mimi taasisi niliyochaguliwa iliandika shortlisted mpaka sasa
zile nilizokosa zimeandika selected for oral interview
View attachment 2431134
Kweli atupe muongozo kidogoU did Ur work and Almighty God did the rest (prayer change things in mysterious way) [emoji123][emoji123] tunashukuru kwa ushuhuda Myunani wa II kama hutojali tusaidie experience yako ulivyojibugu maswali ya oral vzr angalau jobless tupate vitu vya kuongeza regardless ni taaluma tofauti tofauti ila inatusaidia wasakatonge wenzio ,
hahahahaOYA UKISHAANZA KAZI UNIAMBIE maana Kuna watu wanataka kunitania mamaeeee zao