Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Naomba kutoa ushuhuda.

Mwaka jana na huu mzima nilikua nikipambania mrija wa asali.

Kuzunguka mikoa kadhaa ya hapa Tanzania kufanya interview mbalimbali

zote nilikosa/kufeli

Mwaka huu nilifanya interview za utumishi kadhaa, nilikosa na baadhi niliingia oral

Na leo hii mojawapo Mungu kabariki nimepata placement.

Unapofika kwenye ile mitihani ya written jaribu sana kujibu maswali yote, elezea na point zako, usimention tu. Ukifika oral pia vaa vizuri, jielezee kwa confidence, jibu maswali yote, zidi kuomba sana.

ni kweli watumishi wanachelewa kutoa placement ila wakitoa machungu yote unasahau asee



Wakuu msichoke kujaribu na kuomba asee. Mungu ni mwema siku zote atawabarikia.

Siri kubwa ipo humu wakuu : Ora et labora yaani pray and work

NOTE: lile swala la shortlisted, mimi taasisi niliyochaguliwa iliandika shortlisted mpaka sasa
zile nilizokosa zimeandika selected for oral interview




View attachment 2431134
Hongera sana mkuu kwa kupata access ya mrija wa Asali.
 
[emoji122][emoji122][emoji122][emoji122]Ukawe mtumishi bora kiongozi hence confirmed shortlisted=placement or data base
Selected for oral=baba jeni bye bye[emoji23][emoji23][emoji23] nayeyuka huku nikiweweseka kiwendawazimu mamaeeeee
Kwa hiyo suti ipo standby ama?
 
Naomba kutoa ushuhuda.

Mwaka jana na huu mzima nilikua nikipambania mrija wa asali.

Kuzunguka mikoa kadhaa ya hapa Tanzania kufanya interview mbalimbali

zote nilikosa/kufeli

Mwaka huu nilifanya interview za utumishi kadhaa, nilikosa na baadhi niliingia oral

Na leo hii mojawapo Mungu kabariki nimepata placement.

Unapofika kwenye ile mitihani ya written jaribu sana kujibu maswali yote, elezea na point zako, usimention tu. Ukifika oral pia vaa vizuri, jielezee kwa confidence, jibu maswali yote, zidi kuomba sana.

ni kweli watumishi wanachelewa kutoa placement ila wakitoa machungu yote unasahau asee



Wakuu msichoke kujaribu na kuomba asee. Mungu ni mwema siku zote atawabarikia.

Siri kubwa ipo humu wakuu : Ora et labora yaani pray and work

NOTE: lile swala la shortlisted, mimi taasisi niliyochaguliwa iliandika shortlisted mpaka sasa
zile nilizokosa zimeandika selected for oral interview




View attachment 2431134
Ushuhuda kama huu nitautoa nikiwa baharini napishana na samaki!!
 
Sana aisee -yaani unafikiria hela ulizo poteza kufika kwenye mkando, then wanakufanya kama Mandonga mtu kazi.Swali la pili tuu , unaanza unasikia kusanya muda umekwisha..
Ile kuanza kubana karatasi muda mfupi baada ya kuanza huwa inaniboa sana.

Unakuta upo swali la pili, ghafla unaona stepla inaanza kutembezwa[emoji3][emoji3][emoji3]
 
[emoji122][emoji122][emoji122][emoji122]Ukawe mtumishi bora kiongozi hence confirmed shortlisted=placement or data base
Selected for oral=baba jeni bye bye[emoji23][emoji23][emoji23] nayeyuka huku nikiweweseka kiwendawazimu mamaeeeee
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28] wizy mzee wa status unconclode [emoji28][emoji28] Shortlisted=mrija wa asali au benchi
Selected for oral = haijulikani
Mungu atusaidie sana majobless tuingie hata benchi tutulie tusubrie nafasi ya kuingia kwenye mrija wa asali [emoji22]
 
Naomba kutoa ushuhuda.

Mwaka jana na huu mzima nilikua nikipambania mrija wa asali.

Kuzunguka mikoa kadhaa ya hapa Tanzania kufanya interview mbalimbali

zote nilikosa/kufeli

Mwaka huu nilifanya interview za utumishi kadhaa, nilikosa na baadhi niliingia oral

Na leo hii mojawapo Mungu kabariki nimepata placement.

Unapofika kwenye ile mitihani ya written jaribu sana kujibu maswali yote, elezea na point zako, usimention tu. Ukifika oral pia vaa vizuri, jielezee kwa confidence, jibu maswali yote, zidi kuomba sana.

ni kweli watumishi wanachelewa kutoa placement ila wakitoa machungu yote unasahau asee



Wakuu msichoke kujaribu na kuomba asee. Mungu ni mwema siku zote atawabarikia.

Siri kubwa ipo humu wakuu : Ora et labora yaani pray and work

NOTE: lile swala la shortlisted, mimi taasisi niliyochaguliwa iliandika shortlisted mpaka sasa
zile nilizokosa zimeandika selected for oral interview




View attachment 2431134
OYA UKISHAANZA KAZI UNIAMBIE maana Kuna watu wanataka kunitania mamaeeee zao
 
Naomba kutoa ushuhuda.

Mwaka jana na huu mzima nilikua nikipambania mrija wa asali.

Kuzunguka mikoa kadhaa ya hapa Tanzania kufanya interview mbalimbali

zote nilikosa/kufeli

Mwaka huu nilifanya interview za utumishi kadhaa, nilikosa na baadhi niliingia oral

Na leo hii mojawapo Mungu kabariki nimepata placement.

Unapofika kwenye ile mitihani ya written jaribu sana kujibu maswali yote, elezea na point zako, usimention tu. Ukifika oral pia vaa vizuri, jielezee kwa confidence, jibu maswali yote, zidi kuomba sana.

ni kweli watumishi wanachelewa kutoa placement ila wakitoa machungu yote unasahau asee



Wakuu msichoke kujaribu na kuomba asee. Mungu ni mwema siku zote atawabarikia.

Siri kubwa ipo humu wakuu : Ora et labora yaani pray and work

NOTE: lile swala la shortlisted, mimi taasisi niliyochaguliwa iliandika shortlisted mpaka sasa
zile nilizokosa zimeandika selected for oral interview




View attachment 2431134
Mungu ametenda.[emoji119]

Hongera sana mkuu.
 
Maswali ya ORAL
KADA YA LABORATORY TECHNOLOGIST ASSISTANT TO ACADEMICIAN
MWAJILI:SUA

1.Tell us about your education background and professional experience briefly?

2.What are the important things are to be included in laboratory result? 5 points


3.Why is important for laboratory to be clean all the time?5 points


4.What challenges do you expect for the post you are applying for?5 points


5.How will you maintain the equipment in the laboratory?5 points



Toofast
Majibu VP kwa mtazamo wako kk jinsi ya kujibu
Mfn ..KWA UELEWA WANGU MDOGO ingekuwa mimi majibu ya maswali

1.linaeleweka utaje holder yako , experience iliyoifanya, skills ulizonazo, na jinsi ulivyo tayari kwa kazi kuleta matokeo ndani ya taasisi
2. Ninge mention point 5 (angalizo jinsi akili au uwezo wako hapa ss ,,unaweza kukuta unajibu mbili nyingine za kutafuta kwa tochi na zisionekane au zionekane)
3.Hili ni kutoa 5 points na kuelezea ,,linahitaji explaination of 5 points( itategemeana na point ulizonazo kichwani kwa wakati huo ilikuakikisha unapoint 5 sio poa )

4. mention 5 challenges nazotarajia kukutanazo ( kwa mimi nitajiongeza ningemention challenge moja moja na maelezo kidogo na jinsi ya kuikabili au kuitatua changamoto ,hata kama nitataja point 3 au 4 .. jaribu kuonesha utofauti na candidates wengine kwenye kujibu

5.kutoa njia 5 za kumaintain pengine unaweza kuelezea jinsi ya kufanya kazi (depend na ability yako ya kujibu ipoje na kuelewa swali)
 
Naomba kutoa ushuhuda.

Mwaka jana na huu mzima nilikua nikipambania mrija wa asali.

Kuzunguka mikoa kadhaa ya hapa Tanzania kufanya interview mbalimbali

zote nilikosa/kufeli

Mwaka huu nilifanya interview za utumishi kadhaa, nilikosa na baadhi niliingia oral

Na leo hii mojawapo Mungu kabariki nimepata placement.

Unapofika kwenye ile mitihani ya written jaribu sana kujibu maswali yote, elezea na point zako, usimention tu. Ukifika oral pia vaa vizuri, jielezee kwa confidence, jibu maswali yote, zidi kuomba sana.

ni kweli watumishi wanachelewa kutoa placement ila wakitoa machungu yote unasahau asee



Wakuu msichoke kujaribu na kuomba asee. Mungu ni mwema siku zote atawabarikia.

Siri kubwa ipo humu wakuu : Ora et labora yaani pray and work

NOTE: lile swala la shortlisted, mimi taasisi niliyochaguliwa iliandika shortlisted mpaka sasa
zile nilizokosa zimeandika selected for oral interview




View attachment 2431134
Hongera sana
 
Toofast
Majibu VP kwa mtazamo wako kk jinsi ya kujibu
Mfn ..KWA UELEWA WANGU MDOGO ingekuwa mimi majibu ya maswali

1.linaeleweka utaje holder yako , experience iliyoifanya, skills ulizonazo, na jinsi ulivyo tayari kwa kazi kuleta matokeo ndani ya taasisi
2. Ninge mention point 5 (angalizo jinsi akili au uwezo wako hapa ss ,,unaweza kukuta unajibu mbili nyingine za kutafuta kwa tochi na zisionekane au zionekane)
3.Hili ni kutoa 5 points na kuelezea ,,linahitaji explaination of 5 points( itategemeana na point ulizonazo kichwani kwa wakati huo ilikuakikisha unapoint 5 sio poa )

4. mention 5 challenges nazotarajia kukutanazo ( kwa mimi nitajiongeza ningemention challenge moja moja na maelezo kidogo na jinsi ya kuikabili au kuitatua changamoto ,hata kama nitataja point 3 au 4 .. jaribu kuonesha utofauti na candidates wengine kwenye kujibu

5.kutoa njia 5 za kumaintain pengine unaweza kuelezea jinsi ya kufanya kazi (depend na ability yako ya kujibu ipoje na kuelewa swali)
Mkuu swali la challenge linatubeba sana mzee na ukitoa na solution ujue umefaulu mzee kwasababu unaajiriwa ili usolve matatizo kazini
 
Naomba kutoa ushuhuda.

Mwaka jana na huu mzima nilikua nikipambania mrija wa asali.

Kuzunguka mikoa kadhaa ya hapa Tanzania kufanya interview mbalimbali

zote nilikosa/kufeli

Mwaka huu nilifanya interview za utumishi kadhaa, nilikosa na baadhi niliingia oral

Na leo hii mojawapo Mungu kabariki nimepata placement.

Unapofika kwenye ile mitihani ya written jaribu sana kujibu maswali yote, elezea na point zako, usimention tu. Ukifika oral pia vaa vizuri, jielezee kwa confidence, jibu maswali yote, zidi kuomba sana.

ni kweli watumishi wanachelewa kutoa placement ila wakitoa machungu yote unasahau asee



Wakuu msichoke kujaribu na kuomba asee. Mungu ni mwema siku zote atawabarikia.

Siri kubwa ipo humu wakuu : Ora et labora yaani pray and work

NOTE: lile swala la shortlisted, mimi taasisi niliyochaguliwa iliandika shortlisted mpaka sasa
zile nilizokosa zimeandika selected for oral interview




View attachment 2431134
U did Ur work and Almighty God did the rest (prayer change things in mysterious way) [emoji123][emoji123] tunashukuru kwa ushuhuda Myunani wa II kama hutojali tusaidie experience yako ulivyojibugu maswali ya oral vzr angalau jobless tupate vitu vya kuongeza regardless ni taaluma tofauti tofauti ila inatusaidia wasakatonge wenzio ,
 
U did Ur work and Almighty God did the rest (prayer change things in mysterious way) [emoji123][emoji123] tunashukuru kwa ushuhuda Myunani wa II kama hutojali tusaidie experience yako ulivyojibugu maswali ya oral vzr angalau jobless tupate vitu vya kuongeza regardless ni taaluma tofauti tofauti ila inatusaidia wasakatonge wenzio ,
Kweli atupe muongozo kidogo
 
Back
Top Bottom