😂😂😂Hahhhh kijana wa hovyo sana ,ukiingia oral ukawa na mademu hapo hesabu umeahapotea aseehHaha haha [emoji2][emoji2] " mara baada ya kuitwa oral, nilikutana na wanawake kwenye post yangu,, nikajipa moyo nitawakandaaa ,,kumbe cjui watanikanda kindoige...oooohh jamani ninateseka na wanawake kwenye oraaal,,ooh wanaume tumeumbwa matesoooo,matesoo kutoboa,,"" [emoji445][emoji445][emoji444][emoji444][emoji17] Genuine raf wizy
Website ndo kila kitu kakaWebsite ndio mpango mzima wa status,[emoji28][emoji28][emoji28] sio app ,,,au VP ?,[emoji22][emoji22]
😂😂😂😂Aseeh tuishi kitaalamu sana humuHahaha! Nataka mkuu ila nilishtuka namna ukarimu wako ulipanga kwa kasi sana tena ghafla.
Hata hivyo picha wanazoweka kwenye Avatar zisikuchanganye ukauohonga ukarimu wako bure mwishoni kumbe ni mwanaume.
Mpaka leo nikifikiria kumbe Mkuu moneytalk ni mwanaume nguvu zinaisha. Natamani siku moja, aje atengue kauli na kusema alikuwa anatutania.
Basi mimi baba jeni bye bye nilikua na mademu watatu nafasi 2. 😂😂😂😂😂😂😂Hahhhh kijana wa hovyo sana ,ukiingia oral ukawa na mademu hapo hesabu umeahapotea aseeh
Gender balance, utapitaBasi mimi baba jeni bye bye nilikua na mademu watatu nafasi 2. 😂😂😂😂
😂😂😂😂Hapo labda uwe na ulemavu Kaka , lakini hivi hivi aseeeh inahitajika maombi makubwa sanaBasi mimi baba jeni bye bye nilikua na mademu watatu nafasi 2. 😂😂😂😂
Womens wanakuwa favored zaidi hapo nikuomba zaidiGender balance, utapita
Hata kama una 75 wao wakawa na 60 na amekuzidi umri au mnafanana umri ningumu kutoboa labda uwazi umri, vinginevyo litokee zali la mental tu. Ndio maana tunasema maombi muhimu kabla na baada ya usaili na usiache fanya hivyo mpaka pdf itokeOmba mungu wavurunde [emoji1787][emoji1787][emoji1787] lkn vingnevyo sjui uwapite vimarks 2 ah umeliwa mzee [emoji1787][emoji1787] wadada haooo kwenye mrija wa asali
Kwa hyo Machaguzi matatu sio wizy [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Shortlisted=placement
Shortlisted=data base sasa hapo nikuchagua upate ipi[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]ikishindikana basi chagua selected for oral hahhhh
Ila nimewazidi umri kama wadogo zangu wa tatu hivi.😂😂😂😂Hapo labda uwe na ulemavu Kaka , lakini hivi hivi aseeeh inahitajika maombi makubwa sana
Tena ivo vidgo vidgo ndo kbsa vinapendwa sana 🤣🤣🤣Ila nimewazidi umri kama wadogo zangu wa tatu hivi.
Oral mlipiga wangap, vacancy zilikua ngap kakaHellow!!
Naleta ushuhuda....mimi ni mmoja kati ya wasoma comment sijawah kabsa comment hum[emoji16]..
Ila tangu nmefanya oral yangu September huu uzi umenifariji sana...ratiba yangu ilikua asubh na jion lazma niupitie[emoji23]..
Hatimae leo asubh naingia hum kupata taarifa kilichojir nmeona taarifa ya placement!!!
Haraka nikaongia website nakutana na jina langu...alooo mshukuriwe sana...mjue kua kuna sisi ambao sio wachangia mada ila tunafatilia kila kinachojir na tunafarijika[emoji4]
Kuhusu status kwenye web iko "SHORTLISTED" na kwenye app iko "SELECTED FOR NULL" tulifanya oral tu
Kila la kheri kwenye haya mapambano wapendwa hakuna kukata tamaa[emoji120]
Hahahaa, hilo asitegemee[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Jobless kabadili gia angani aseeh kaona hata jtano zitoke tu
Kuitwa kazini muda mwingine haijalishi Wanafunzi wamefungua au Bado ..Maana kabla ya ww si kuna wakufunzi wapo wanafundisha SoMo Hilo?? haiwezekani watu wasiwapo hapo kazini kuendeleza majukum ..ni suala la muda kutoka majibuKama masomo hawajanzaa Bhac Haina shida sikilizia. Nilijua wanafunzi wameanzaa kusoma. wakikuita ss hv ni Unyonyaji Huo Cheque itanzaa kusoma mshahara wa December na Haupo kituoni Bado Mpya kabs kwny mrija.
Kwa mantiki hiyo endelea na kawaida mpak wafungue chuo.
Hongera sana, tumejifunza kitu hapaHellow!!
Naleta ushuhuda....mimi ni mmoja kati ya wasoma comment sijawah kabsa comment hum[emoji16]..
Ila tangu nmefanya oral yangu September huu uzi umenifariji sana...ratiba yangu ilikua asubh na jion lazma niupitie[emoji23]..
Hatimae leo asubh naingia hum kupata taarifa kilichojir nmeona taarifa ya placement!!!
Haraka nikaongia website nakutana na jina langu...alooo mshukuriwe sana...mjue kua kuna sisi ambao sio wachangia mada ila tunafatilia kila kinachojir na tunafarijika[emoji4]
Kuhusu status kwenye web iko "SHORTLISTED" na kwenye app iko "SELECTED FOR NULL" tulifanya oral tu
Kila la kheri kwenye haya mapambano wapendwa hakuna kukata tamaa[emoji120]
Pole sana, ndio tunakula kwa majasho yetu namna hii.Nlifika busy busy kutafuta pesa, nikizama Kariakoo asubuh nkaanza na delivery za watu kurudi nyumbani usiku nmechoka hoi, nkishaoga na kula usingizi huoo. Yaan maisha yangu yamekuwa ya mahangaiko. J3 nlijioverwork sana hadi nikaumwa ndo mpaka leo, ndo najisikia afadhali kidogo. Leo nimekaa tu nyumbani ndo nkaanza pitia message moja baada ya nyingine
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Kuhusu placement bado, mimi nkiitwa kazin lazima nije humuu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]. Sasa marafiki zangu ambao tyar wapo kazin ndo wananitia pressure hapa wananambia status yako kwenye hizo post inaonesha nawaambia zote shortlisted, eti hongera dada[emoji1787]. Nkiwaza humu tulishaongelea hili swala naishia kucheka nawaambia hamjui utumishi ikiamua kukufurahisha, ili mradi tu watuchanganye
Nimeumaliza mwendoTena ivo vidgo vidgo ndo kbsa vinapendwa sana 🤣🤣🤣