[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Sema maisha sio fair kabisa Kuna jamaa nimepiga nae tuit kwa mgote ndo alitusimamia usaili juzi nikasema mamaeeee
Ulikuwa muumini wa Mgote ee?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Sema maisha sio fair kabisa Kuna jamaa nimepiga nae tuit kwa mgote ndo alitusimamia usaili juzi nikasema mamaeeee
Sitaki kujipa stress na status kabisa[emoji3][emoji3][emoji3][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
😂😂😂😂Asa kilichoniuma yani nikamwambia mwanangu vipi aseeh ,akanijibu aah tupo tu tunahangaika hapa[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Nimecheka sana aisee, ukisikia Maisha hayana fomula ndio hivi sasa.
Muda wetu utafika mkuu, tuwe na subira
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Naombea usije ukawa na maringo ya kutotupa lift majobless ambao bado hatuna mrija wa asali[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Bora nilale njaa lakini natembelea Subaru tunaita tako la nyani hahhhh
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] naamini jobless wizy atakuwa anavimba hata humu "" unaijua subaruu ww"" sisi ndio wenye Subaruu bhna[emoji23][emoji23][emoji23] in polepole voice
😂😂😂😂Nimepiga sana pale na kwa ngaiza ilikuwa ukinitingisha tu nakushushia kitini chote na page swali lilipo hahhhhUlikuwa muumini wa Mgote ee?
😂😂😂😂😂Hahhhh Kaka jobless namuheshimu sana aseeh[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Naombea usije ukawa na maringo ya kutotupa lift majobless ambao bado hatuna mrija wa asali
Daahhh [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3], hajaishia hapo akaamua ajipost kwenye home site ili mumuone vizuri anavyofanana, unapoona umekandwa ukarejee kuiona sura yake ilivyo huku ukilinganisha na jinsi alivyokufanyiaWadada wawili na wakaka wanne pamoja na post 2 ,but zote wamechukua wadada .kwa ufupi wakaka tumekandwa yan mi niliandaa mpaka suti,moka mwamvuli pamoja na kibeg fulan amazing kwa ajili ya kubebea barua bt Mkandaj mkuu Mr Kitenge amenikanda barabara kilichobak ni kwenda machimbo tu
😂😂😂😂😂Kuna hiyo nyingine Volkswagen"[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] naamini jobless wizy atakuwa anavimba hata humu "" unaijua subaruu ww"" sisi ndio wenye Subaruu bhna[emoji23][emoji23][emoji23] in polepole voice
Halafu ukakuta Shortlisted ee?[emoji3][emoji3][emoji3]Mimi pia siangaliag, leo tu ndo marafiki zangu wamenishtua nkaangalia.
😂😂😂😂😂Sasa akachukue kile kikofia cha Wanasheria aanze kututishiaHalafu ukakuta Shortlisted ee?[emoji3][emoji3][emoji3]
Jitahidi usije ukaishiwa kama juzi na ukose bando, hatupatw live coverage ya kuchukua barua huko kwa wakandaji[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Nimenunua na moka kaka
Nilipokuwa mgeni humu, hizi Avatar nilidhani ndio picha halisi za wahusika, nikaja kujua kuwa nilikuwa sijuiHahaha! Acha kabisa Mkuu, yani Jf kila kitu mtu anaweza akakifanya feki, kuanzia jina mpaka picha ila cha ajabu kuna watu wana fall in love hivyo hivyo.
Sasa unajiuliza huyu hasa amekuwa amependa nini?
Kibaya zaidi mwisho wa picha anakuja gundua kumbe ni mwanaume mwenzie, uwekezaji wake unaishia hapo.
😂😂😂😂😂asaivi najiandaa mapema hii ya juzi ilikuja ghafula sana aseehJitahidi usije ukaishiwa kama juzi na ukose bando, hatupatw live coverage ya kuchukua barua huko kwa wakandaji[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Asikate tamaa ataimprove, mpe habari zangu kuwa nishakandwa written 3 mfululizo(3 beaten in a row), ya 4 ndio nilikanda.Ila wizy inabidi tuongee vizuri, haiwezekani kila usaili wewe unafanikiwa kufika mpaka Oral, hebu tupe siri Mkuu.
Maana Mdogo wangu pamoja na kumuamini yuko smart sana lakini mpaka sasa ameenda interview mbili na zote ameanguka vibaya sana.
Daah, majeruhi[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Not selected/ selected for oral tunaijua tunaipata baada ya written interview , ,,mengine baada ya hapo ni unknown kabisa umetoboa au utaanzia benchi au haupo hata kweny list ya timu ww ni majeruhi wa mchezo unasubria upone urejee uwanjani[emoji23][emoji23][emoji23] ...yote majibu kikubwa kushona na kutulia na kupambana [emoji23][emoji23] wizy
Kabisa Mwifwa aende ajifunze ,apate uzoefu wa hizi interview zinakuaje ,aendelee kujipangaAsikate tamaa ataimprove, mpe habari zangu kuwa nishakandwa written 3 mfululizo(3 beaten in a row), ya 4 ndio nilikanda.
Huyo wizy, mwanzo pia alishakandwa.
Majority huwa tunakandwa mwanzoni ila tunafika oral kadri muda unavyozidi kwenda
Kwa kawaida huwa hatudisclose dili zetu tunazopata, ndio maana kasema "tunahangaika hapa"[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Asa kilichoniuma yani nikamwambia mwanangu vipi aseeh ,akanijibu aah tupo tu tunahangaika hapa
Nikajisemea huyu anahangaika nini ikiwa mimi nimekuja kukandwa nayeye ndo anasimamia
[emoji23][emoji23][emoji23]Daah, majeruhi[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Yaani unaukosa uhondo(mrija nyeti) kama vile akina Benzema walivyokosa WC(kitu ambacho hakitokei haraka)