Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚Kaka tujiandae kuchukua barua na pia kukaa data base
Kwakweli jobless hawanaga kulemba ingawaje wamepewa siku saba kuanzia jana ila watu washafika Dom kwahiyo ni around siku tatu huwa tayari barua zipo kinindoni kwa jobless
 
Sijaona mtu aliefnya oral humu akasema yey haoni selected ukiniacha mim wa ict 🀣🀣 isje ikawa kila anaeenda oral anaekewa shortlisted 🀣🀣
Inakuwa na hatua tatu au nne mzee hii ya nne ndo yenyewe ile yakwanza sio
 
Sijaona mtu aliefnya oral humu akasema yey haoni selected ukiniacha mim wa ict [emoji1787][emoji1787] isje ikawa kila anaeenda oral anaekewa shortlisted [emoji1787][emoji1787]
Mkuu usitishike mzee hio shortlisted inabadilika kwa kila aliefanya oral, kama kwako ipo "selected for oral" saivi baada ya mda lazima itabadilika tu itakua " shortlisted " so worry out man.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu usitishike mzee hio shortlisted inabadilika kwa kila aliefanya oral, kama kwako ipo "selected for oral" saivi baada ya mda lazima itabadilika tu itakua " shortlisted " so worry out man.

Sent using Jamii Forums mobile app
Kabisa Skywalker00 mtie moyo mwamba amuambie hzi status hazina Jambo ...atulie asije akapaniki wakt ni kitu Cha kawaida tu [emoji4][emoji4][emoji4]
 
Mie si nilipa taarifa father heeeee napigiwa simu na watu hata siwajui Shangazi wa Mjomba wa bibi sijui Nini na Nini mamaee zao Sasa hivi wananikalibisha kwenye harusi na masherehe huko hata siendi [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Afu mbona sionagi walimu wa veta wakimiliki magari wengi naonaga wanatimba na boxer na tvs star
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…