[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] hata mimi nina tabia hyo nikienda interview nikione furniture hata ofisi yenyewe haieleweki unaon hapa hmna jambo hapo
Alizamia kijana wa hovyo huyu[emoji1787][emoji1787]
Wa sayansi ndo abase zaidi darasaniAsante sana Mkuu, nimekupata. Vipi au labda kwa upande wa kada za Sayansi kuna uwezekano sana kukutana na vitu vya darasani moja kwa moja ambavyo endapo ulibahatisha ukapitia inawezekana ukafanya vizuri?
Naona pia kama hawa wa masuala ya fedha kuna namna inabidi pia apambane na vitu vya nje ya darasani, kitu ambacho ni bahati nasibu sana, kwa mfano watu walileta maswali ya usaili wa Bunge, ile ilikuwa ni hatari sio usaili.
Au unaonaje mkuu?
Taasisi gani?TANGAZO LA KUITWA KAZINI TAASISI MBALIMBALI ZA UMMA
๐๐๐๐Hahhhh jana nimepiga Bavaria kwa hasira sana akiweka tatu mezani namwambia njoo na zingine hahhhHahaha! Nimeshangaa sana. Jobless kwenye sherehe ukavunja Camera ya anayeshoot ukaanza kudaiwa utalipa na nini!
Si bora ukae nyumbani tu.
๐๐๐๐๐Kaka kulipwa 200k afu unafanya kazi ya 2mil ni utumwa kakaHahaha! Sawa Mkuu, naona kumbe ujobless bado unaumudu vizuri, mpaka kazi unayo, acha utumishi wakusubirishe kidogo, waanze na ambao kukicha hawajui pakwenda.
๐๐๐๐Hahaha! Ukiona avatar ya kike akili inahama na kiwango cha ukarimu kinapanda juu sana kiasi kinachokushinda kucontrol.
admin wa utumishi katimiza KPI ya kuapload pdf moja kwa leo na hilo kalifanikisha kwa kweliTANGAZO LA KUITWA KAZINI TAASISI MBALIMBALI ZA UMMA
Asa hizo si za interview??admin wa utumishi katimiza KPI ya kuapload pdf moja kwa leo na hilo kalifanikisha kwa kweli
eeh ila si web haijakaa kinyonge lakin hata kama sio placementAsa hizo si za interview??
Hizo hazina ishu placement ndo inasubiriwaeeh ila si web haijakaa kinyonge lakin hata kama sio placement
Placement si tumekubaliana mpaka january? ๐Hizo hazina ishu placement ndo inasubiriwa
๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐คฃila weweSawa kaka.
Ila samahani, jobless anapataje ujasiri wa kuhudhuria sherehe, kwanza hata huo mchango anapataje.
Hahaha! Au umezamia bila kuchangia Mkuu?
mfanyakazi wenzako wa wapi tena na tunajua wewe ni jobless mwenzetu๐๐๐๐hahhhh Kaka mfanyakazi mwenzetu alikuwa anafunga ndoa
๐๐๐๐ dharau hizo na ofisi za watu na bado unashidaHahaha! Hatari sana Mkuu.
Hili liliwahi kunikuta hata kwenye Ofisi za Mo Dewji pale Posta, miaka hiyo nilifika nikakuta mdada wa mapokezi amevaa nguo zimapauka na kiti alichoegemea lile sponji linaonekana.
Nilipoulizwa kilichonileta, ikabidi nibadilishe mada badala ya kusema ni kazi, nikamwambia nimekuja kuuliza Ofisi yenu mnajishughulisha na nini?
๐๐๐๐January ni za mwezi October lakini za Sept zinatoka mwezi huu na za November hizo sasa tusahauPlacement si tumekubaliana mpaka january? ๐
๐๐๐๐Hahhhh mfanyakazi ninapotafutia helamfanyakazi wenzako wa wapi tena na tunajua wewe ni jobless mwenzetu
Sema mkuu wewe ni manzi aseeh sio mjuba nathibitisha kwa herufi kubwa hata ukibisha๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐คฃila wewe