HS CODE
JF-Expert Member
- Jul 5, 2019
- 1,784
- 4,376
[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] hata mimi nina tabia hyo nikienda interview nikione furniture hata ofisi yenyewe haieleweki unaon hapa hmna jambo hapo
Hahaha! Hatari sana Mkuu.
Hili liliwahi kunikuta hata kwenye Ofisi za Mo Dewji pale Posta, miaka hiyo nilifika nikakuta mdada wa mapokezi amevaa nguo zimapauka na kiti alichoegemea lile sponji linaonekana.
Nilipoulizwa kilichonileta, ikabidi nibadilishe mada badala ya kusema ni kazi, nikamwambia nimekuja kuuliza Ofisi yenu mnajishughulisha na nini?