moneytalk
JF-Expert Member
- Jan 23, 2017
- 7,976
- 16,769
hahahaa mzee wa uteleziKweli aseeh unapiga kazi huku unapata utelezi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hahahaa mzee wa uteleziKweli aseeh unapiga kazi huku unapata utelezi
nabadili mkuu hahahaa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]We unaiona ni yakawaida aseeh??
[emoji849][emoji849][emoji849][emoji849]Si ya kawaida kwa kwel
hahahaa utumishi hawana mapenzi ya hivyoUtumishi wanatupenda sana, wametufuata Hadi hukuView attachment 2433829
tuombeana jaman,ngoja nami leo nikapambane na utumishiNimeliona mkuu.
😂😂😂😂Muhimu sana jobless nae ni binadamu aseehhahahaa mzee wa utelezi
Kila la herituombeana jaman,ngoja nami leo nikapambane na utumishi
Weka yakiume sasanabadili mkuu hahahaa
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]mtaniua kwa kuchekaHahaha! Nimecheka sana.
Yani hata mimi ni bore nijiunge na kikosi cha maagaidi cha M23 huko Kongo DRC kuliko kuandika hivyo.
😂😂😂😂Soma huko[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]mtaniua kwa kucheka
Word"Ujue kuwa, lililokukosa halikuwa ni lenye kukupata, na lililokusibu halikuwa ni lenye kukukosa. Ujue kuwa Nusra ipo pamoja na Subira, faraja ipo pamoja na dhiki, na kwenye uzito kuna wepesi." - Prophet Muhammad
Muhimu next time ujifunze na kosa ulilolifanya leo kwa kuhakikisha unajipanga vyema katika kila hatua, pia huenda haikua riziki yako na hiyo ilikua ni sign tu.
Pole sana aisee, baada ya dhiki faraja ipo siku mwambaKweli kabisa yote sababu ya umaskini nilihangaika sana kupata ela ya kuhudhuria usaili nimekuja pata ela sa moja nimepanda gari sa nne .
Wazee tutafute pesa vuzazi vyetu visihangaike kama sisi nasikitika sana kukosa interview hii
Huku kitaa inafikia hatua, naona aibu kusema kuwa nina degree[emoji3][emoji3][emoji3].
Maana sina tofauti na wengine kitaa
tuombeana jaman,ngoja nami leo nikapambane na utumishi
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]mtaniua kwa kucheka
😂😂😂😂😂Hahhhh nimeamini kumbe hata vijana wa hovyo wanazeeka aseeh kaka umejipigia pande au sio?Hahaha. Mkuu ukitoka tu kwenye usaili naomba unitumie ujumbe Pm ili tujadili mtihani ulikuwaje huko?
Vip mkando? Taasisi gan mkuu