Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Word
 
Oya wadau Hivi kwenye usaili wa hizi tutorial assistant maswali yake yanakuwaga vipi ?

Namaanisha yale ya oral interview maana naona watu wanaitwa direct mpaka kwenye oral yaani hakuna written so kama kuna mwenye experience ya oral interview za tutorial assistant afunguke Ili watu wajue pa kuanzia.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…