Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Hapana mimi sio mchaga, ila ni vile tu maisha yangu ya utoto yalikuwa ya bata, wazazi walikuwepo, ikaja kama ghafla mmoja akatoweka, ikawa kama from hero to zero, tangu hapo ndo akili ilinikaa sawa[emoji23]

Hahaha! Sawa Mkuu, ila punguza kidogo kasi, mwanamke akishaijua pesa na mbinu za kuipata, basi tena huwa haioni thamani ya kujishusha mbele ya mwanaume.
 
Haya Mkiamka Mkangalie Majina Yenu.
Ahmet andaa Suti alf kuna Dada Aje na Ushuhuda.
Wazee wa status.
J4,Al Jumah N Jmoc Ndio Siku za Placement sio J4 tyu.
Haswa J4 & Jmoc
IMG_20221204_012249.jpg
 
Back
Top Bottom