Hapana mimi sio mchaga, ila ni vile tu maisha yangu ya utoto yalikuwa ya bata, wazazi walikuwepo, ikaja kama ghafla mmoja akatoweka, ikawa kama from hero to zero, tangu hapo ndo akili ilinikaa sawa[emoji23]
walichonifanya huko sina hamu nao
Haya Mkiamka Mkangalie Majina Yenu.
Ahmet andaa Suti alf kuna Dada Aje na Ushuhuda.
Wazee wa status.
J4,Al Jumah N Jmoc Ndio Siku za Placement sio J4 tyu.
Haswa J4 & Jmoc
Jamani Sijui niseme nini. Mungu mkubwa jamaniiiiiiiHaya Mkiamka Mkangalie Majina Yenu.
Ahmet andaa Suti alf kuna Dada Aje na Ushuhuda.
Wazee wa status.
J4,Al Jumah N Jmoc Ndio Siku za Placement sio J4 tyu.
Haswa J4 & Jmoc
Wale wa (IAE) INSTITUTE OF ADULT EDUCATION na wa IFM njooni mtwambie mambo mukide au bado bilabila na status zinasomaje?
UmetoboaJamani Sijui niseme nini. Mungu mkubwa jamaniiiiiii
Kaka nahisi hii ni ndoto, hata siamini yaniUmetoboa
Hongera sana .Kaka nahisi hii ni ndoto, hata siamini yani
Kalitumikie taifa sasaHongera sana .
Asante sana, Namuomba sana Mungu aniongozeHongera sana .
HakikaKalitumikie taifa sasa
Nimefurahi sana bro! All the best katika hatua nyingine ya maisha from jobless to mtu mwenye kazi hapa mjini.Asante sana, Namuomba sana Mungu aniongoze
Hongera sana kwako nimefurah san kutoboa jobless tupungue kdgoAsante sana, Namuomba sana Mungu aniongoze
Hongera Sana Kaka mungu Ni muaminifu siku zoteThank you my Lord,
Thank you Allah
Thank youuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuu
Hongera sana mkuuAsubuhi in sha Allah nitatoa ushuhuda wa status
Asante sana, nawaombea wote tuvuje mrija wa asaliNimefurahi sana bro! All the best katika hatua nyingine ya maisha from jobless to mtu mwenye kazi hapa mjini.
Asante sana, amini Mungu atawafanyia wepesi na nyinyiHongera sana kwako nimefurah san kutoboa jobless tupungue kdgo