Ahmed Saidi
JF-Expert Member
- Oct 15, 2019
- 1,588
- 3,487
No placement foundVipi sehemu ya placement kwenye app, wameandika chochote?
hapa sasa,ujasiri + lugha,ila kitaeleweka tuHongera mkuu pambana Sasa hatua inayofata
nimekandaUmekanda au umekandwa?
bado hadi jioni ndo nitaendaHongera sana, hapo ushatoboa.
Umeanza safari ya kuelekea Dom tena?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]mnipe triki zakwenda kuwachanganya na kuleAmewakanda ,jobless kapanda grade[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]Asante kwa kuwa mtiifu.
mimi nitaanza nakutoa sadaka kwanzaHahahahaaa, hatimaye tunaendelea kuongeza wasubiri placements.
Usisahau kumkumbushia kuhusu Subaru[emoji3][emoji3]
kulikoni tena jamanUtandawazi mbaya sana, umesababisha wanawake wa siku hizi mumekuwa wagumu sana kuwadanganya.
Ili kumdanganya mwanamke wa kisasa inabidi ujipange.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]amka usingizini wizy oohoo[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kuna hiyo Volkswagen" aseeeh nainunua afu naandika kwenye plate number
You overtake we race[emoji23]
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]Hongera sana Mkuu. Hahaha napendekeza haya mambo kuna haja ya tuyajadili kwanza Pm kabla ya kuyaweka hadharani.
naelewa sana mchango wake[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hahhhhh hajui kama wewe Umefanya kazi kubwa mpaka hapa
hapo maswali huwa yanabase na kazi zako zinazohusika pale kwenye taasisiPost ni Marketing Officer Mkuu.
Kwa usalama zaidi tembelea tawi la NMB lilopo karibu na wewe ukasaidiwe huko.Out of mada,wadau nimesahau password yangu ya kadi ya nmb,utaratibu ukoje jinsi ya kupata password mpya.
Maswali yenu sio magumu sana nafikiri soma vifaa vya kazi na challenge zenu kazini na ujue jinsi yakuzitatua pia ,pitiq na duties vizuri ujue zinafanyika vipihapa sasa,ujasiri + lugha,ila kitaeleweka tu
Sisi wapambe tumefurahi maana hatutasahaulika kwenye ufalme wa kunyonya Asali[emoji3][emoji3]nimekanda
utasafiri usiku?bado hadi jioni ndo nitaenda
😂😂😂😂Nenda pm sasa unachelewa nininaelewa sana mchango wake
Unaweza ukatumia hivyo vingine ulivyovitajaOya hivi kama huna Kitambulisho cha NIDA Ila number unayo si unaweza tumia kitambulisho kingine kama Driving licence au passport ya kusafiria ? Au wanataka kitambulisho cha NIDA Tu ?