Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Ahsante kwa ufafanuzi mkuu
 
Usije ukafanya ujinga wa kudanganya hata siku moja.
 
Fanya hivi kama hujui swali hasa katika Oral to disclaimer kua sijui halafu waambie I can give my thoughts to the specific question. Halafu tiririka hayo unayofikiria.

Kutokujua sio dhambi, dhambi ni kudanganya huku ukiwa unajiamini
Hapo nimekupata
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…