Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Pole sana prok, Nilivofika mara1 pale migiro nikahisi nimepotea[emoji1787][emoji1787][emoji1787] Kumbe ndo nimefika daah! Kile kibaridi cha hapo kisha likaja kufumuka jua nikajiuliza hivi ni wote huwa tunafanyia usaili hapa au ss tu tumeteuliwa [emoji3][emoji3][emoji3] nikasema lets keep it up kwakuwa kufika oral ni hatua kubwa sana
 
Sure kbs wengine huwa wastaarabu sana mtu unaingia usaili saa7 hujala kutoka saa 1 mpk panelist aliniuliza unaonekana hujala tangu asbh[emoji3][emoji3][emoji1787][emoji1787]
Mkuu kwani oral interview nazo zinachukuaga muda mrefu kuanza kama zilivyo written interview ? Au inategemea na idadi ya walioitwa oral ? Mfano oral mmeitwa watano na mzigo unaanza saa moja asubuhi hapo Kuna kuchelewa kweli ?
 
Mkuu kwani oral interview nazo zinachukuaga muda mrefu kuanza kama zilivyo written interview ? Au inategemea na idadi ya walioitwa oral ? Mfano oral mmeitwa watano na mzigo unaanza saa moja asubuhi hapo Kuna kuchelewa kweli ?
Znachelewq inategemea na idadi ya watu waloitwa kwenye usaili huo mm nshafanya oral imeandikwa inaanza sa moja asubuh ila nlifanya sa 10 jioni
 
Oral umepita mwezi gani..?
 
Mkuu kwani oral interview nazo zinachukuaga muda mrefu kuanza kama zilivyo written interview ? Au inategemea na idadi ya walioitwa oral ? Mfano oral mmeitwa watano na mzigo unaanza saa moja asubuhi hapo Kuna kuchelewa kweli ?
Sisi tulikuwa 17 tu, lkn tulianza saa6 usaili kutoka saa1, sikujua walikuwa wanapanga au hawakuweka sawa nn. Huwa zinachelewa sana tu itategemea na idadi ya watu na muda mtakaoanza
 
😁😁😁umeniacha hoi kweli..haya bhna hutaki kusumbuana na invigilators au sio
 
Mkuu kwani oral interview nazo zinachukuaga muda mrefu kuanza kama zilivyo written interview ? Au inategemea na idadi ya walioitwa oral ? Mfano oral mmeitwa watano na mzigo unaanza saa moja asubuhi hapo Kuna kuchelewa kweli ?
Sisi tuliambiwa saa 1 asubuhi, tukafanya oral saa tatu usiku. Unategemea wanafanya kada ngapi siku hiyo.
 
Vina dharau sana vilee vijamaaa...!!
 
Ule mkeka 98% walioingia oral walipata kazi. Nakumbuka sana aisee nilipata 49.0 kwenye written na jamaa zangu wote waliotoboa written wamelamba utamu wa asali.
 
Ule mkeka 98% walioingia oral walipata kazi. Nakumbuka sana aisee nilipata 49.0 kwenye written na jamaa zangu wote waliotoboa written wamelamba utamu wa asali.
Yaaap ni kweli.. kuingia Oral ni ushindi tosha Just imagine watu mlikuwa zaidi ya 3000 halafu mtu unapita tena ndani ya 50 Bora ni ushindi tosha
 
Huu mkeka aliyeingia oral hakuachwa
Walikuwa na uhitaji mkubwa sana wa wafanyakazi na bado hawatoshi, ndo maana baada tu ya wale kupata kazi wakatoa tangazo lingine lenye nafasi nyingi kwa kada tofauti.

Kuna jamaa zangu walilamba asali wamenambia kuwa bado uhitaji ni mkubwa sana. Kwa hyo wakuu tupambane mpaka jasho la mwisho kuweza kuingia oral kwani yanaweza kujirudia.
 
Asali zao vipi zimeshazaa matunda!!!?πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Akapiga written kawaida tu akaona hapo hatoboi akajua sasa maswali wanatoaje akarudi home kula msuli heavy,
Ina maana jamaa yako alikuwa anapiga msuli heavy bila hata kuwa na tangazo la kazi.

Na hapo juu umesema alijua hatatoboa, sasa msuli heavy ulikuwa wa nn, kumbuka kusoma bila kuwa na events yoyote vitu huwa vina evaporate.
 
Ina maana jamaa yako alikuwa anapiga msuli heavy bila hata kuwa na tangazo la kazi.

Na hapo juu umesema alijua hatatoboa, sasa msuli heavy ulikuwa wa nn, kumbuka kusoma bila kuwa na events yoyote vitu huwa vina evaporate.
Alikuwa anasoma aliofubdishwa chuo that is means baada ya kujua format yao kwahiyo ilimrahisishia alipoingia oral,

Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…