HapanaSister unatumia ajira portal app?
Njoo nikuandalie affidavit chaap, halafu husirudi humu kushuhudia Prok ni nan[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hongera saba Cvez kwa kuingia katika mrija wa asali.......ndugu zangu eeeh , ADEM wamenipa za USO. Ila hakuna kukata tamaa mpaka kielewekeAlhamdulillaah finally Jobless mzoefu amepata mrija wa asali.
Guys since 2017 napambana na mishe za kuunga unga and finally nimeingia kwenye system inayoeleweka.
Sio rahisi kua Jobless na katika kitu kigumu latika maisha ya mtu ni kukosa kazi maalumu especially kwa mwanaume. Mungu ni wetu sote wakati wa Mungu ni wakati sahihi muda utafika but never give up nishalamba mchanga interview nyingi sana. Mungu ni mwema.
Tuendelee kupambana Kaka, stay strongHongera saba Cvez kwa kuingia katika mrija wa asali.......ndugu zangu eeeh , ADEM wamenipa za USO. Ila hakuna kukata tamaa mpaka kieleweke
Shukran mkuu maelezo ya kizalendo na upendo haswa Mungu akubarikiKuna madereva wa tra wataaenda kukandwa hivi karibuni ,katika interview matata moja wapo ni za udereva ,kukandwa kupo pale pale haijalishi dereva mkongwe au siyo mkongwe .
Kunaenda kufanyika written sehem mbalimbali mikoani ,ikiwemo dar ,dom,mbeya mwanza na hata Zanzibar ,baada ya pale wote wanakutana dar kwa ajiri ya kukandwa kwenye test
Nachotaka kusema ,kama haujawahi kufanya test yoyote pale veta Chang'ombe umakini unahitajika sana.
Gari zao zimechokonolewa sana,kuna hiyo tata ya wanafunzi huwa inatumika kwa test. Gia liva yake ilisha chokonolewa ,gia ni za kutafuta,pili hiyo gari haihitaji mwendo sana,tembea 40-50km/h .Ukizidisha hapo gari inaanza kuyumba.
Kuna leyland pale na kuna scania 94 ,hizi zote hutumika ,pale hupewi land cruiser.hivyo umakini unahitajika likija zoezi la test .
Wengi huwa zinawashinda ,hasa hiyo Tata ni ya kuiangalia sana,bora uende kwenye 94 ila pia leyland sishauri labda kama ulishaendesha hapo awali.Ni hayo tu wazee wa kukandwa
Alikua anachezea team ganAzzedine Ounahi
Dogo nimemwelewa sana..Barca tayari wanamtaka
Thanks Chief
Usijali ni katika kuyajenga 😂😂Eeeeh jaman nmecheka sana [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23], aiyah bana
Mapambano yaendelee sio nyepesi ila hakuna namna inabidi iwe hivyoHongera saba Cvez kwa kuingia katika mrija wa asali.......ndugu zangu eeeh , ADEM wamenipa za USO. Ila hakuna kukata tamaa mpaka kieleweke
Eeeeh, bora umenisanua.Hahahaha. Kwa gia ya kujidai wanataka huduma watakuja wengi sana.
Ila niamini kwa akili za jobless hawatafuata huduma ya Affidavit, na hili utakuja kuligundua mwishoni sana.
Jobless kwa sababu wamekosa maeneo ya maana ya kuelekeza akili zao, wanazielekeza akili zote hata kwenye mambo ya hovyo na wana kila mbinu ya kuhakikisha wanafanikiwa.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Usijali ni katika kuyajenga [emoji23][emoji23]
Please naomba udownload app ya ajira portal ukimaliza nistue Kuna kitu muhimu nataka nikuambieEeeeh, bora umenisanua.
SawaPlease naomba udownload app ya ajira portal ukimaliza nistue Kuna kitu muhimu nataka nikuambie
Mimi nakuja PM unisaidie kucertify vyeti vyangu [emoji23][emoji23][emoji23]Eeeeh, bora umenisanua.
TyarPlease naomba udownload app ya ajira portal ukimaliza nistue Kuna kitu muhimu nataka nikuambie
Nimeamini Maisha ni duara jana tu nilikuwa nasubiria Placements lakini baada ya kupigwa NDOIGE sasa nasubiria Advertisement.Tyar
Usife moyo mkuu mpambanaji siku zote hakati tamaa na pia nafasi yako amini ipo sehemu special inakusubiria wewe tu wakati wako ufikeNimeamini Maisha ni duara jana tu nilikuwa nasubiria Placements lakini baada ya kupigwa NDOIGE sasa nasubiria Advertisement.
Kama chuo wanazingatia NIDA na Cheti cha Kuzaliwa ambapo penye initial ya katikati(Samia S Hangaya) wao wanaiandika kwa kirefu(Samia Suluhu Hangaya), kwa nini aliyetumia majina mawili(Samia Suluhu) kwenye cheti cha shule(form 4 na 6) huwa hawaongezi jina la tatu(Samia Suluhu Hangaya) ambalo huwa lipo kwenye NIDA na cheti cha kuzaliwa?Kwa sababu ana shida kama yangu, ngoja nimsaidie kujibu.huko secondary walimu huwa ni wazembe sana mfano mtoto anaitwa Samia Suluhu Hangaya.wao wanamsajili kama samia s hangaya,necta nao wanapelekewa same data,so ukifika chuo watadai cheti chako cha kuzaliwa na data zako watazozitumia kuandaa cheti chako na transcript ni za kwenye cheti cha kuzaliwa na kitambulicho cha nida..Anyway mimi nashukuru utumushi hawajawahi kunizuia kufanya paper coz ya huo mkanganyiko.
Aluta Continua Arifu.Nimeamini Maisha ni duara jana tu nilikuwa nasubiria Placements lakini baada ya kupigwa NDOIGE sasa nasubiria Advertisement.