Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Njoo nikuandalie affidavit chaap, halafu husirudi humu kushuhudia Prok ni nan[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Hahahaha. Kwa gia ya kujidai wanataka huduma watakuja wengi sana.

Ila niamini kwa akili za jobless hawatafuata huduma ya Affidavit, na hili utakuja kuligundua mwishoni sana.

Jobless kwa sababu wamekosa maeneo ya maana ya kuelekeza akili zao, wanazielekeza akili zote hata kwenye mambo ya hovyo na wana kila mbinu ya kuhakikisha wanafanikiwa.
 
Alhamdulillaah finally Jobless mzoefu amepata mrija wa asali.

Guys since 2017 napambana na mishe za kuunga unga and finally nimeingia kwenye system inayoeleweka.

Sio rahisi kua Jobless na katika kitu kigumu latika maisha ya mtu ni kukosa kazi maalumu especially kwa mwanaume. Mungu ni wetu sote wakati wa Mungu ni wakati sahihi muda utafika but never give up nishalamba mchanga interview nyingi sana. Mungu ni mwema.
Hongera saba Cvez kwa kuingia katika mrija wa asali.......ndugu zangu eeeh , ADEM wamenipa za USO. Ila hakuna kukata tamaa mpaka kieleweke
 
Kuna madereva wa tra wataaenda kukandwa hivi karibuni ,katika interview matata moja wapo ni za udereva ,kukandwa kupo pale pale haijalishi dereva mkongwe au siyo mkongwe .

Kunaenda kufanyika written sehem mbalimbali mikoani ,ikiwemo dar ,dom,mbeya mwanza na hata Zanzibar ,baada ya pale wote wanakutana dar kwa ajiri ya kukandwa kwenye test

Nachotaka kusema ,kama haujawahi kufanya test yoyote pale veta Chang'ombe umakini unahitajika sana.
Gari zao zimechokonolewa sana,kuna hiyo tata ya wanafunzi huwa inatumika kwa test. Gia liva yake ilisha chokonolewa ,gia ni za kutafuta,pili hiyo gari haihitaji mwendo sana,tembea 40-50km/h .Ukizidisha hapo gari inaanza kuyumba.

Kuna leyland pale na kuna scania 94 ,hizi zote hutumika ,pale hupewi land cruiser.hivyo umakini unahitajika likija zoezi la test .

Wengi huwa zinawashinda ,hasa hiyo Tata ni ya kuiangalia sana,bora uende kwenye 94 ila pia leyland sishauri labda kama ulishaendesha hapo awali.Ni hayo tu wazee wa kukandwa
Shukran mkuu maelezo ya kizalendo na upendo haswa Mungu akubariki
 
Hahahaha. Kwa gia ya kujidai wanataka huduma watakuja wengi sana.

Ila niamini kwa akili za jobless hawatafuata huduma ya Affidavit, na hili utakuja kuligundua mwishoni sana.

Jobless kwa sababu wamekosa maeneo ya maana ya kuelekeza akili zao, wanazielekeza akili zote hata kwenye mambo ya hovyo na wana kila mbinu ya kuhakikisha wanafanikiwa.
Eeeeh, bora umenisanua.
 
Kwa sababu ana shida kama yangu, ngoja nimsaidie kujibu.huko secondary walimu huwa ni wazembe sana mfano mtoto anaitwa Samia Suluhu Hangaya.wao wanamsajili kama samia s hangaya,necta nao wanapelekewa same data,so ukifika chuo watadai cheti chako cha kuzaliwa na data zako watazozitumia kuandaa cheti chako na transcript ni za kwenye cheti cha kuzaliwa na kitambulicho cha nida..Anyway mimi nashukuru utumushi hawajawahi kunizuia kufanya paper coz ya huo mkanganyiko.
Kama chuo wanazingatia NIDA na Cheti cha Kuzaliwa ambapo penye initial ya katikati(Samia S Hangaya) wao wanaiandika kwa kirefu(Samia Suluhu Hangaya), kwa nini aliyetumia majina mawili(Samia Suluhu) kwenye cheti cha shule(form 4 na 6) huwa hawaongezi jina la tatu(Samia Suluhu Hangaya) ambalo huwa lipo kwenye NIDA na cheti cha kuzaliwa?
 
Back
Top Bottom