Skywalker00
JF-Expert Member
- Jul 4, 2022
- 329
- 1,017
Acha uoga mzee within three weeks utakua kazini, kuna jamaa nafaham wamepata placement november katkat na saivi washaanza kazi officially.Kaka Mimi mwenye ni psychologist na hizi disorders tumezisoma sana ila nashindwa kutake control
Na hio form ya medical ya kawaida tu, hupimwi ngwengwe wala nn tena wanakupa wenywe ukaijaze mwnywe kwenye hospital of your choice.Kaka Mimi mwenye ni psychologist na hizi disorders tumezisoma sana ila nashindwa kutake control
Mbn unamdanganya mwenzio hehehNa hio form ya medical ya kawaida tu, hupimwi ngwengwe wala nn tena wanakupa wenywe ukaijaze mwnywe kwenye hospital of your choice.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mipango kk...mwenye connection anatumiwa email fastaWanajamvi,
Nilitaka kujua kwanini utumishi hutumia takribani miezi miwili kuita watu kazini baada ya kufanya Oral, kuna nini kinacho endeleea?
Kipengere muhimu hicho kwenye vyombo vya ulinzi na usalamaNa hio form ya medical ya kawaida tu, hupimwi ngwengwe wala nn tena wanakupa wenywe ukaijaze mwnywe kwenye hospital of your choice.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sijaongelea vyombo vya ulinzi na usalama, jamaa si kapata placement IAE so naongelea kwa case yake.Kipengere muhimu hicho kwenye vyombo vya ulinzi na usalama
Huu ndio uamuzi wa kiumeKaka me nataka kuoa kabisa yaani
Kwamba anachagua yeye hospital ya kwenda
Sijui kwa taasisi zingine ila nimefanya referance ya placement aliopata jamaa yangu juzi November, hajapima ngwengwe na alipeleka hospital wamjazie akarudisha ofisini....so yawezekana labda kila taasisi ina utaratibu wake.Kwamba anachagua yeye hospital ya kwenda
Kwamba hawapimi Ngwengwe.
We ushawahi jaza medical form? Ile unayoambiw na mwajiri, serikalin?
Mbona hakuna siri hapo, nilishamwambia kuwa post yake ya kwanza tu nilim note akawa anajichekea tu.Ila huyu ni mwenzangu kweli. Hii language ya ke kabisa[emoji4][emoji4][emoji4]
Labda... Maana sensitivity ya kupima afya ni kubwa sana, Vijana tunzeni Afya.Sijui kwa taasisi zingine ila nimefanya referance ya placement aliopata jamaa yangu juzi November, hajapima ngwengwe na alipeleka hospital wamjazie akarudisha ofisini....so yawezekana labda kila taasisi ina utaratibu wake.
Sent using Jamii Forums mobile app
Wewe una proof kuwa kuna mtu alipima ngwengwe kwenye hiz taasisi ambazo si za usalama wakati anajoin? Maana me nishakupa fact yangu na wewe nipe fact yako. Au una hisi tu??Labda... Maana sensitivity ya kupima afya ni kubwa sana, Vijana tunzeni Afya.
Huu ujumbe mzito. Tunashukuru kwa kutukumbushaLabda... Maana sensitivity ya kupima afya ni kubwa sana, Vijana tunzeni Afya.
Ok ok kumbe na OG wanaviscan mie nilizani copy hzo zinazobakiUnatoa copy mbili mbili za vyeti vyote na kuziacha hapo ofisini, then taarifa zinajazwa Kwenye
template (excel) kama namba ya nida, namba ya account ya bank, namba za simu na namba za mitihani. Watascan na vyeti vyako OG na hapo mchakato unakuwa umeisha.
Vyeti og utaondoka navyo
Anyways ni muhimu kutunza afya nakubali.Labda... Maana sensitivity ya kupima afya ni kubwa sana, Vijana tunzeni Afya.
Upo sahihi labda kweny kuchagua hospital mara nyingi wanataka za serikali ila ukifika tu pale Reception ni Elfu 10 tu wanajaza wanapiga na mhuri.Sijui kwa taasisi zingine ila nimefanya referance ya placement aliopata jamaa yangu juzi November, hajapima ngwengwe na alipeleka hospital wamjazie akarudisha ofisini....so yawezekana labda kila taasisi ina utaratibu wake.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sahihi mkuu.Upo sahihi labda kweny kuchagua hospital mara nyingi wanataka za serikali ila ukifika tu pale Reception ni Elfu 10 tu wanajaza wanapiga na mhuri.
Yeah og wanascan navyoOk ok kumbe na OG wanaviscan mie nilizani copy hzo zinazobaki
Acha uoga mzee within three weeks utakua kazini, kuna jamaa nafaham wamepata placement november katkat na saivi washaanza kazi officially.
Sent using Jamii Forums mobile app