Pilot_In_Command
JF-Expert Member
- Nov 10, 2013
- 2,507
- 3,442
Kama kujibu hoja kwa hoja ni Ubishani bas sawa. Ubishani ni hali ya kutojibu hoja kwa hoja. Huu ni Mdahalo.Dhumuni la ubishani huu ni nini? Wasomi acheni hizo
Watasema kuchangamsha kijiwe kama yale ya StatusDhumuni la ubishani huu ni nini? Wasomi acheni hizo
Sawa kaka mkimaliza mdahalo mtustue!Kama kujibu hoja kwa hoja ni Ubishani bas sawa. Ubishani ni hali ya kutojibu hoja kwa hoja. Huu ni Mdahalo.
Mimi sizungumzii swala la barua ya mwajiri wako, nazungumzingia "vetting" kwamba utumishi wakupangie kituo cha kazi na hawajakufanyia vetting is it possible?!
Wangapi waliwahi kukataliwa na waajiri?Imenilazima kurudi huku kusoma tena comment baada ya kuona jamaa anasema kuwa mnabishanana kuhoji dhumuni la kubishana.
Sijaona manishano ila jamaa aliyefafanua kuhusu barua ya Placement(ambayo tunaichukulia Asha Rose Migiro halafu tunaipeleka kwa Mwajiri) na Barua ambayo utapewa na mwajiri(barua ya kazi). Huu ufafanunuzi uko sahihi.
Sasa nirudi kwenye maneno niliyobold hapo kwenye quote.
Ni sahihi mwajiri lazima ajiridhishe kama kaletewa mtu sahihi mwenye vigezo ambavyo anavitaka ndio maana ukipeleka barua kutoka PSRS unaenda kuacha nyaraka zako na kuambiwa watakupigia simu. Kwa kipindi hicho wanakufanyia crosschecking almaarufu kama Veting. Usipokidhi vigezo hawakuiti(unakosa kazi, jamaa kasema hili pia), ukikidhi vigezo vyao watakakuita.
Ukichaguliwa na PSRS sio gurantee ya mwajiri kukubali moja kwa moja.
Sijui kama nimeeleweka
@Chaldzosias Manucho90 Cvez
Nahitaji ushahidi ili kujiridhisha juu ya hili, majibu tafadhali? ili jobless niweke cheti kabatini nirudi geita kwenye machimbo ya wachimbaji wadogo wadogoWangapi waliwahi kukataliwa na waajiri?
Nakupongeza sana mkuu, kweli ni kama bahatiNdugu zangu mwenyezi Mungu ni mkubwa, Mungu wetu yu hai hata leo. Baada ya ujobless kwa miaka 7, sasa ameniona kupitia utumishi. Nawasihi waliokosa kutokata tamaa, nafasi yao ipo. Nimefanya Oral moja tu, nimechaguliwa, Mwenyezi Mungu ni mkubwa, Mwenyezi Mungu ni mjuzi, tumtegemee yeye. Kutoka familia duni, bila connection, amenifanyia wepesi na upendeleo mkubwa sana.
NB: Status yangu (Selected for null kwenye app na Selected for Oral kwenye website)
Don't get into people's mind in that way, hii ni forum bwana....kitu hauko interested unakaa pembeni kidogo af ukipata muda unarud tenaWatasema kuchangamsha kijiwe kama yale ya Status
Ewaaaa.... Upo sahihi sie wengine tuna experience ya haya mambo, nashangaa mtu kuja kubisha kitu ambacho hakijuiImenilazima kurudi huku kusoma tena comment baada ya kuona jamaa anasema kuwa mnabishanana kuhoji dhumuni la kubishana.
Sijaona manishano ila jamaa aliyefafanua kuhusu barua ya Placement(ambayo tunaichukulia Asha Rose Migiro halafu tunaipeleka kwa Mwajiri) na Barua ambayo utapewa na mwajiri(barua ya kazi). Huu ufafanunuzi uko sahihi.
Sasa nirudi kwenye maneno niliyobold hapo kwenye quote.
Ni sahihi mwajiri lazima ajiridhishe kama kaletewa mtu sahihi mwenye vigezo ambavyo anavitaka ndio maana ukipeleka barua kutoka PSRS unaenda kuacha nyaraka zako na kuambiwa watakupigia simu. Kwa kipindi hicho wanakufanyia crosschecking almaarufu kama Veting. Usipokidhi vigezo hawakuiti(unakosa kazi, jamaa kasema hili pia), ukikidhi vigezo vyao watakakuita.
Ukichaguliwa na PSRS sio gurantee ya mwajiri kukubali moja kwa moja.
Sijui kama nimeeleweka
@Chaldzosias Manucho90 Cvez
Kijana, jitahidi kuishi vizuri na uwe na tabia njema, mwadilifu etcNahitaji ushahidi ili kujiridhisha juu ya hili, majibu tafadhali? ili jobless niweke cheti kabatini nirudi geita kwenye machimbo ya wachimbaji wadogo wadogo
Duh apo itabd uwabane vzuri isije ikawa nafas yako imeuzwa kwa mtu mwengine mana kama jina lako lilitoka kwenye pdf ya kuitwa kazin ni lazima barua yako iwepo pale sekretarieti kwaio kuwa makini sana kufatilia ilo jamboWaheshimiwa, mimi na rafiki yangu tumekuja utumishi kuchukua barua zetu za kuitwa kazini.
Rafiki yangu amepata,
Na jamaa mwingine pia amepata.
Ila mimi wananiambia barua yangu hawaioni hivyo niache mawasiliano yangu kisha watanipigia ikishakuwa tayari ili nisafiri tena kutoka mkoa ninaoishi kuja Dodoma kuifuata.
Hii imekaaje wakuu, yaani barua za wengine zipo ila yangu haipo wakati sote tumepata kazi taasisi moja??
Ushauri wenu wadau.
Sent from my TECNO LC6a using JamiiForums mobile app
Doh! Mbona tena mtihani huu kakaWaheshimiwa, mimi na rafiki yangu tumekuja utumishi kuchukua barua zetu za kuitwa kazini.
Rafiki yangu amepata,
Na jamaa mwingine pia amepata.
Ila mimi wananiambia barua yangu hawaioni hivyo niache mawasiliano yangu kisha watanipigia ikishakuwa tayari ili nisafiri tena kutoka mkoa ninaoishi kuja Dodoma kuifuata.
Hii imekaaje wakuu, yaani barua za wengine zipo ila yangu haipo wakati sote tumepata kazi taasisi moja??
Ushauri wenu wadau.
Sent from my TECNO LC6a using JamiiForums mobile app
Walifanyaa mchakato wowote kuitafuta?Waheshimiwa, mimi na rafiki yangu tumekuja utumishi kuchukua barua zetu za kuitwa kazini.
Rafiki yangu amepata,
Na jamaa mwingine pia amepata.
Ila mimi wananiambia barua yangu hawaioni hivyo niache mawasiliano yangu kisha watanipigia ikishakuwa tayari ili nisafiri tena kutoka mkoa ninaoishi kuja Dodoma kuifuata.
Hii imekaaje wakuu, yaani barua za wengine zipo ila yangu haipo wakati sote tumepata kazi taasisi moja??
Ushauri wenu wadau.
Sent from my TECNO LC6a using JamiiForums mobile app
Walianza kuitafuta Kama kwa dakika 10 hivi,Walifanyaa mchakato wowote kuitafuta?
Mhhhh ndio maana nasema haya mambo mpaka ukamilishe na uone mshaara umeingia ndio ufurahi, lakini Kuna mambo mengi yanaweza kutokea kabla ya kulamba asaliWaheshimiwa, mimi na rafiki yangu tumekuja utumishi kuchukua barua zetu za kuitwa kazini.
Rafiki yangu amepata,
Na jamaa mwingine pia amepata.
Ila mimi wananiambia barua yangu hawaioni hivyo niache mawasiliano yangu kisha watanipigia ikishakuwa tayari ili nisafiri tena kutoka mkoa ninaoishi kuja Dodoma kuifuata.
Hii imekaaje wakuu, yaani barua za wengine zipo ila yangu haipo wakati sote tumepata kazi taasisi moja??
Ushauri wenu wadau.
Sent from my TECNO LC6a using JamiiForums mobile app
Kwaiyo utasubiria hapo hapo Dom au utarudi home?Walianza kuitafuta Kama kwa dakika 10 hivi,
Kisha nd'o wakanipa hayo majibu.
Sent from my TECNO LC6a using JamiiForums mobile app
Nahisi inaweza wamei-misplace, au wamempa mtu mwengine kimakosa na huyo mtu hakuikagua, au labda ile barua wameiweka kwenye bahasha yenye jina ambalo sio lako. Makosa ya kibinadamu ni kawaida hapoWalianza kuitafuta Kama kwa dakika 10 hivi,
Kisha nd'o wakanipa hayo majibu.
Sent from my TECNO LC6a using JamiiForums mobile app
Kwahiyo mkuu mimi ambaye nimeandikiwa not selected for null ndo sina bahati et ee?Ewaaaa.... Upo sahihi sie wengine tuna experience ya haya mambo, nashangaa mtu kuja kubisha kitu ambacho hakijui
Apo kama sio wamemisplace basi nafas kapewa mwingineWalianza kuitafuta Kama kwa dakika 10 hivi,
Kisha nd'o wakanipa hayo majibu.
Sent from my TECNO LC6a using JamiiForums mobile app