[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Yaani ile siku nimeona jina langu hata sikulala, acha tu Kuna furaha kuona placement Iko na jina lako, utaitunza iyo pdf kama kiatu Cha dhahabu
Tatizo watu hawajui yaliyomo[emoji3][emoji3][emoji3]unaanzaje sasa kuacha kunipa ulinzi
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji23][emoji23][emoji23], Sirudi kwa kweli. Marriage is 80% a scam. People are crying[emoji23][emoji23][emoji23]. Huyu mara kabila, huyu mke wake hamuelew, huyu mchepuko. Wanaume wa humu nawaombea mpate kazi aisee, nmegundua wanawake wanawanyanyasa wanaume wakikosa kazi tu dk chache,
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23], Jamani me napenda kuwaona watu wanapendana. Yaan mwanaume ukiona mwanamke wako ana vidalili vya kupenda hela from day one umemuapproach siku zikiisha kazi unayo. Hapa tofautisha kupenda hela na kuwa na shida.[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
"Kelele za vyura hazimzuii tembo kunywa maji"
Ila wanaopenda hela wanajua sana mapenzi, maana mapenzi kwao ni kazi!!!![emoji23][emoji23][emoji23][emoji23], Jamani me napenda kuwaona watu wanapendana. Yaan mwanaume ukiona mwanamke wako ana vidalili vya kupenda hela from day one umemuapproach siku zikiisha kazi unayo. Hapa tofautisha kupenda hela na kuwa na shida.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]acha washindane na ukwelTatizo watu hawajui yaliyomo[emoji3][emoji3][emoji3]
Hela yenyewe ndio inarun Dunia, sijui tufanyeje..[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23], Jamani me napenda kuwaona watu wanapendana. Yaan mwanaume ukiona mwanamke wako ana vidalili vya kupenda hela from day one umemuapproach siku zikiisha kazi unayo. Hapa tofautisha kupenda hela na kuwa na shida.
Awwwwwww.... Me sijuiIla wanaopenda hela wanajua sana mapenzi, maana mapenzi kwao ni kazi!!!!
Sidhani kama mtu atapenda hela halafu akawa gogo!😂😂😂😂😂😂🚶🚶🚶🚶🚶🚶Awwwwwww.... Me sijui
Soma sheria zao appeal itakuwepo, ila itachelewesha mchakatoHivi jamani, ingekuaje kama hawa wakandaji wangeruhusu "appeal" baada ya matokeo ya written?
asaivi sikukuu hakuna placement hadi january tufarijiane tu tukiandaa panadol tukandwe vizuri ila sipati picha nami jina langu likitokea kwenye pdf ntashinda ntalala ntagalala kumuomba mungu
Uko sahihi ila mtazamo wangu na kulingana na mazingira ya bongo bora utamani kujiimarisha kiuchumi kuliko na kielimu(mf PhD ambazo ndio hazina msaada kabisa).
Matajiri wetu wa kibongo si unawaona walivyo na elimu ya kawaida kabisa na wanarun mambo makubwa.!?
Hapa nilipo nawaza huyu mwanangu endapo nikipata chance ya kumuingiza kwenye mpira(kupata Academy ingawa bongo tupo usingizi wa pono upande wa mpira) namsukumizia huko. Watoto wanatoboa wakiwa na miaka 19 tu, huku kwetu ndio kwanza wanakimbizana na kidato cha 4 ambapo kuna uwezekano wa kufaulu au kufeli.
Tunawaza hivi huku hatujui kumbe mtu anabugia ulanzi huko kwao Uchagani(kama ni wa KLM lakini)[emoji3][emoji3][emoji3]
Wizy KingSpirit ya upambanaji ya huu uzi ni ya juu sana, mungu akaweke wepesi kila kijana akatokee kwenye pdf, usiku mwema wapamabanaji.
Hapana mm sio wizy.Wizy King
Wizy mwenyewe unamjua?Hapana mm sio wizy.
Hapana simfahamWizy mwenyewe unamjua?