baraka mas
Senior Member
- Dec 3, 2022
- 139
- 471
namuomba mungu iwe ivyo kaka ila kupita jambo lingine tena naimani one day yesHahahaha! Mkuu unaonaje kama ukishinda unagalagala muda huu kumuomba Mungu kabla placement haijatoka ili ikitoka uwemo!?
Mi nadhani katoa fact tu Katika maisha ,ila ni Ile fact chungu tu😄,kubwa tuendelee kupambana bila kukata tamaaWasomi mnalalamika sana. Hata hao unaowaona kama wanetoboa wana magumu yao sema hawapigi kelele kama wewe, tujifunze kuwa wavumilivu jamani otherwise inakera sana masikioni, ndiyo maana hata darasa la saba wanatudharau kwa sasa.
Remember, life is not a straight corridor that you walk unhampered but a maze puzzle where you have to find your lost path every now and then.
Be strong. Acha kulalamika. Kama unapata fursa ya kusoma kasome tu.
Pesa utazikuta na utazipata, zipo kwa watu wewe toa huduma kwa watu ukisaidiwa na ubunifu wa taaluma yako. Amini nakuambia, kwa sasa hauna kipato so unajiona looser, ukweli ni kwamba una kila nyenzo ya kukuwezesha kupata kipato as long as you are alive and healthy.
asante mkuu ,mshahara wa TRA take home ni beiganiMzee wa Flash anawatakieni kheri ya sikukuu nyote wakandwaji
unaulizia mshahara wakati bado hujajua umekanda au umekandwa ipende kazi yako kwanza usiweke masilahi mbele kuliko kazi ukibahatika kuwa mtumishi wa umma wajali unaowafanyia kazi maslahi kama unataka uende kuajiriwa private sector NGOs kuwa mzalendo na nchi yakoasante mkuu ,mshahara wa TRA take home ni beigani
aisee fikra yako ipo opp sana ndugu mbona una panic sana kwa kujiongelea tu ,kwa bahat mm simo kwenye hizo saili ila kuna mtu kaniuluza, tatizo ni nn? kama hujui bora unyamaze ndugu ha haunaulizia mshahara wakati bado hujajua umekanda au umekandwa ipende kazi yako kwanza usiweke masilahi mbele kuliko kazi ukibahatika kuwa mtumishi wa umma wajali unaowafanyia kazi maslahi kama unataka uende kuajiriwa private sector NGOs kuwa mzalendo na nchi yako
Mshahara wa commissioner au meneja tra mkoa?!!unaulizia mshahara wakati bado hujajua umekanda au umekandwa ipende kazi yako kwanza usiweke masilahi mbele kuliko kazi ukibahatika kuwa mtumishi wa umma wajali unaowafanyia kazi maslahi kama unataka uende kuajiriwa private sector NGOs kuwa mzalendo na nchi yako
Nimepanic wapi nambie mshahara hauulizwi mtandaoni atafute watu walioko Kwenye system watamuambia ila humu huwezi pata Majibu ya ukweliaisee fikra yako ipo opp sana ndugu mbona una panic sana kwa kujiongelea tu ,kwa bahat mm simo kwenye hizo saili ila kuna mtu kaniuluza, tatizo ni nn? kama hujui bora unyamaze ndugu ha ha
hili ndo jibu sasa maneno ya uzalendo mala private sect ya nn kiongizi punguza stress leo Christmas ha ha ha ha ,makasiriko punguza ha ha ha ,Nimepanic wapi nambie mshahara hauulizwi mtandaoni atafute watu walioko Kwenye system watamuambia ila humu huwezi pata Majibu ya ukweli
Hili jukwaa la ajira na tenda kuuliza mshahara hakuna shida, kama unafaham mjibu kama ufaham kaushaNimepanic wapi nambie mshahara hauulizwi mtandaoni atafute watu walioko Kwenye system watamuambia ila humu huwezi pata Majibu ya ukweli
wala hata sijakasirika mbona niko poahhili ndo jibu sasa maneno ya uzalendo mala private sect ya nn kiongizi punguza stress leo Christmas ha ha ha ha ,makasiriko punguza ha ha ha ,
new member wking au ni wizy kabadili utambulis
😂 Huenda ikawanew member wking au ni wizy kabadili utambulisho
Sijui mkuu, ungeweka scale yake wadau watiririkeasante mkuu ,mshahara wa TRA take home ni beigani
Nenda kwenye section ya matokeo bonyeza read more upekue humo unaweza kuyapataOhy.. kwenye Archive ya Ajiraportal naweza kupata Matokeo ya Written interview zilizofanyika kitambo..?
Mzee wa Flash anawatakieni kheri ya sikukuu nyote wakandwaji
PDF ndio ingetupooza zaidi kuelekea kuumaliza mwakajobless tumekumbukwa sio mbaya[emoji123][emoji123][emoji123]
Dalili za PDF naona kma mpk Jan 3PDF ndio ingetupooza zaidi kuelekea kuumaliza mwaka