Zile nafasi zingine zimekosa watu(wengine walikandwa).ivi wakuu utumishi sijawaelewa kitendo cha kutangaza nafasi tano then kazini wanaitwa watu watatu alafu ni taasisi mbili kada hiyohiyo moja sjaelewa apo na sijaona readvertise hiyo post wala kutokea kanzidata mwenye kujua ufafanuzi apo naomba muongozo apo
Maana mkuu mwifwa zilikua za tutorial assistant kuna wengine wapo pale wanafundisha ila wamekandwa pia labda nikajua chuo kimefanya mchongo na PSRS kibakishe wale wanaofundisha pale ndo nikawaza ivo je apo imekaaje mkuuZile nafasi zingine zimekosa watu(wengine walikandwa).
Kuhusu kutangazwa upya, wao PSRS ndio wanajua lini watafanya hivyo
Tax Management Officer II/Customs Officer IIasante mkuu ,mshahara wa TRA take home ni beigani
Duh jamaa wanakatwa sanaTax Management Officer II/Customs Officer II
Basic Salary Tsh 2,340,000
Less PSSSF @5% Tsh 117,000
Less PAYE Tax Tsh 494,900
Less NHIF @3% Tsh 70,200
Take home/Net Pay Tsh 1,657,900
(hii ni kama ulisoma bila mkopo wa HESLB, kama ulikua na mkopo utaongezea hapo kwenye kutoa)
Hayo ni makato ya lazima kwa kila mtumishi wa umma, huwa tu yanatofautiana kulingana na kiwango cha mshahara. Kila mshahara unapopanda na makato nayo yanazidi kuongezeka.Duh jamaa wanakatwa sana
Makato ya bodi ya mikopo huwa ni asilimia ngap?Hayo ni makato ya lazima kwa kila mtumishi wa umma, huwa tu yanatofautiana kulingana na kiwango cha mshahara. Kila mshahara unapopanda na makato nayo yanazidi kuongezeka.
Najua mzee, nashangaa tu kua hio ndo take home yao.Hayo ni makato ya lazima kwa kila mtumishi wa umma, huwa tu yanatofautiana kulingana na kiwango cha mshahara. Kila mshahara unapopanda na makato nayo yanazidi kuongezeka.
Asilimia 15 ya mshaharaMakato ya bodi ya mikopo huwa ni asilimia ngap?
Chuoni watu hufurahia sana boom, wakishaanza kazi sasa utasikia vilio tuAsilimia 15 ya mshahara
Hao itakuwa wanapiga part time au wanapiga kwa mikataba na wala sio ajira rasmi.Maana mkuu mwifwa zilikua za tutorial assistant kuna wengine wapo pale wanafundisha ila wamekandwa pia labda nikajua chuo kimefanya mchongo na PSRS kibakishe wale wanaofundisha pale ndo nikawaza ivo je apo imekaaje mkuu
Duuhh, mambo hovyo kabisa.Tax Management Officer II/Customs Officer II
Basic Salary Tsh 2,340,000
Less PSSSF @5% Tsh 117,000
Less PAYE Tax Tsh 494,900
Less NHIF @3% Tsh 70,200
Take home/Net Pay Tsh 1,657,900
(hii ni kama ulisoma bila mkopo wa HESLB, kama ulikua na mkopo utaongezea hapo kwenye kutoa)
Ofcourse ndo mana juzi kuna jama nilishangaa sana alivyoambiwa kiwango cha TGS E akafurahia sana akasema amepata moto wakufuatilia placements...ila akikukatana na hali halisi ndo atajua.Duuhh, mambo hovyo kabisa.
Nimeshika kalamu ili nijionee kwa upande wangu endapo nikipata mrija wa Asali.
Nikijumlisha makato yote(PSSSF, NHIF, PAYE na HESLB) yatakuwa na jumla ya 43%. Kwa hiyo take home nitaondoka na 57% ya mshahara, kiasi ambacho kitakuwa chini ya mshahara wa Mwl wa Secondary mwenye Degree 1
Tuusake mrija wa Asali ila tuwe na akili mbadala ya kujikwamua
Na hapo usiombe uangukie local government, hehe lazma uipate pate.Duuhh, mambo hovyo kabisa.
Nimeshika kalamu ili nijionee kwa upande wangu endapo nikipata mrija wa Asali.
Nikijumlisha makato yote(PSSSF, NHIF, PAYE na HESLB) yatakuwa na jumla ya 43%. Kwa hiyo take home nitaondoka na 57% ya mshahara, kiasi ambacho kitakuwa chini ya mshahara wa Mwl wa Secondary mwenye Degree 1
Tuusake mrija wa Asali ila tuwe na akili mbadala ya kujikwamua
Mpaka TA nao wanakandwa🤣Zile nafasi zingine zimekosa watu(wengine walikandwa).
Kuhusu kutangazwa upya, wao PSRS ndio wanajua lini watafanya hivyo
Hii ndio bongo aisee.Ofcourse ndo mana juzi kuna jama nilishangaa sana alivyoambiwa kiwango cha TGS E akafurahia sana akasema amepata moto wakufuatilia placements...ila akikukatana na hali halisi ndo atajua.
Kutokana na makato ya namna hii, take home inabaki kuwa ya ugali tu, kuhusu maendeleo lazima tujiongeze kwa namna nyingineNa hapo usiombe uangukie local government, hehe lazma uipate pate.
Hao ndio wanakandwa vibaya sana.Mpaka TA nao wanakandwa[emoji1787]
Mwendazake yule Mzee basi tuHii ndio bongo aisee.
Ila mwendazake aliweka panga kali sana HESLB, 15% ni nyingi sana.
Usipopata mrija wenye marupurupu ni majanga sana
TA wanapelekewa moto balaaHao ndio wanakandwa vibaya sana.
Re-advertised nyingi ni teaching kada