Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Mimi nlisahau hadi full citation ya constitution upande wa year, yaan hiyo 1977 ilitoka kichwan kabisa nikasema 1970. Nlivyotoka nlijiona kilaza hatari
Juzi sheria za importation na exportation kwenye custom zilinitoa jasho, nilishawah kuzisoma zaid ya mara kumi!!!
 
Juzi sheria za importation na exportation kwenye custom zilinitoa jasho, nilishawah kuzisoma zaid ya mara kumi!!!
Mimi nlizikumbuka, sema ubaya kwenye ule mtihan vitu vingi nlikuwa nmesoma ila nafika mle kiwewe nimesahau, yaan nlikuwa nadonoa donoa mpaka sio poa. Atakaesahihisha mtihani wangu atacheka sana[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Nahisi itakuwa Ile passMark Yao,,, si wanasema wanaanza na 70...?
Hii ni kubwa
Shida ni hapo ni kuonesha uwezo wako wa presentation na kujibu maswali yako baada ya presentation
Maana Ahmet anaexperience nayo hii..

.ukikiuta POST Teaching zmekuwa re-advertised pengine hakuna watu wenye vigezo hivyo mfn
Chuo X kinataka lecture ila kinataka PhD ,au assistant lecture kinataka master baadhi ya coz watu ngumu kusoma au vigezo vya UFAULU wa masters na degree
 
Mimi nlizikumbuka, sema ubaya kwenye ule mtihan vitu vingi nlikuwa nmesoma ila nafika mle kiwewe nimesahau, yaan nlikuwa nadonoa donoa mpaka sio poa. Atakaesahihisha mtihani wangu atacheka sana[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Dah cive siyo poa mle....
 
Kaka karibu tena....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…