kyagata
JF-Expert Member
- Oct 18, 2016
- 10,406
- 19,892
Kwa hiyo wewe nae una akili?Anazingua! ajue wapo watu wenye akili wanafuatilia kila kitu humu.
Naona uko desperate ndio maana unashinda jf kufuatilia watu usiowajua hata..afu usiichukulie jf too serious mzee..utapasuka bure.