BNprojects
Senior Member
- Dec 14, 2022
- 147
- 371
System yao imezingua
Hii,ni aibu sana..kwamba serikali imeshindwa kutengeneza ajira kwa watu wake..!!
unapenda sana kulalamika wewe! huna jema hata moja. na ukiitwa kwenye interview huendi! shida yako nini?Hii,ni aibu sana..kwamba serikali imeshindwa kutengeneza ajira kwa watu wake..!!
Anazingua! ajue wapo watu wenye akili wanafuatilia kila kitu humu.😃😃😃 watu naon mnamlalamikia sana kyagata
Inaonekan hapo kuna shida mana wew sio wa kwanza kuona comment kama hiyo kuwa mwamba analalamika sanaAnazingua! ajue wapo watu wenye akili wanafuatilia kila kitu humu.
Wale wa tra, ict, madereva angalieni huko pdf zishaanza kuwekwa kuelekea dodoma kwenye mpapaso wa oral interview
iv wakimalza practical Huwa Wana oral tena?Practical
Mimi nlisahau hadi full citation ya constitution upande wa year, yaan hiyo 1977 ilitoka kichwan kabisa nikasema 1970. Nlivyotoka nlijiona kilaza hatari
Pole utakuwa ulipanick ,huwa inatokea , ila utatoboa , inshallah .,Mungu kama amepanga uwepo itakuwepo kwenye selectionsMimi nlizikumbuka, sema ubaya kwenye ule mtihan vitu vingi nlikuwa nmesoma ila nafika mle kiwewe nimesahau, yaan nlikuwa nadonoa donoa mpaka sio poa. Atakaesahihisha mtihani wangu atacheka sana[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Yeah chiefPractical
Ndio.iv wakimalza practical Huwa Wana oral tena?
AmenPole utakuwa ulipanick ,huwa inatokea , ila utatoboa , inshallah .,Mungu kama amepanga uwepo itakuwepo kwenye selections