Skywalker00
JF-Expert Member
- Jul 4, 2022
- 329
- 1,017
Ila mkuu hayo mambo yakuhama taasisi nikipengele mno ukiwa mwajiriwa mpya japo inawezekana, kwa sabab umesema una received TPDC hadi uje ufike oral, mpaka placement yaweza pita hata miezi 6 au 7 na probably utakua na chek no teyari ndio shida.Shukrani sana mkuu [emoji120]
Biashara usiache, ushatengeneza msingi wake, ukipata mrija wa Asali tafuta mtu sahihi wa kumuajiri halafu umsimamie kwa ukaribu.Karibu sana, kuna muda nawaza hivi nkipataga kazi biashara yangu namuachia nani, nawaza nakuwazua
Tutor wa Veta pia anachukua salary hii kwa maana basicMshaara wa PHTS1 ni 1,430,000 Sasa sijajua wa PUTS 1.1, basic salary
Hili swali lako limeniacha hoi kidogo, unahisi Custom officer ni kazi ya hadhi ya chini, sio?So kumbe customs officer wa TRA anapokea mshahara mnono kuliko Hawa TUTORIAL ASSISTANTS wa Chuo ?
Kweli yatupasa tukaze wakuu.
Maana mi sijajiriwa bado ila ndo nmeanbiwa nkafuate barua. Na what If nikaja kuitwa kwenye interview wakati nipo kazini tayari nshakamilisha process za kuajiriwa, je hapo natakiwa niwe na barua ya mwajiri wakati wa kwenda kwenye interview ilihali wakati naomba hiyo kazi sikuwa nimeajiriwa ?
Tuleteeni takwimu hapa piah, mshahara wa mtu mwenye degree moja TRA upojeHili swali lako limeniacha hoi kidogo, unahisi Custom officer ni kazi ya hadhi ya chini, sio?
Basic 2,340,000 TZS.Tuleteeni takwimu hapa piah, mshahara wa mtu mwenye degree moja TRA upoje
Kuna mdau juu huko ameleta hiz takwim za custom officer II,. Pitia uzi vzuri utaiona.Tuleteeni takwimu hapa piah, mshahara wa mtu mwenye degree moja TRA upoje
Mshahara wa kawaida tu 2.3M basic hata hao TA Wakishapata masters tu wanakua na 2.5M basic hamna tofauti sana....tofauti ni kwnye allownces na kucheza rafu vijana wa TRA ndo wanawazidi hao ma lecturerKuna mdau juu huko ameleta hiz takwim za custom officer II,. Pitia uzi vzuri utaiona.
Ni kweli ukiajiliwa kama custom officer TRA unaanza direct na daraja la Pili?, ICT officer wa TRA analipwa kiasi gani wakuuKuna mdau juu huko ameleta hiz takwim za custom officer II,. Pitia uzi vzuri utaiona.
Sio TRA pekee, ajira serikalini entry level kwa ngazi ya degree huwa na title hiyo,. NAOT, mfano,. Auditor II,Ni kweli ukiajiliwa kama custom officer TRA unaanza direct na daraja la Pili?, ICT officer wa TRA analipwa kiasi gani wakuu
Sijakuelewa, usmart unamaanisha nini?TRA kinachowakwamua wengi zaidi ni uwepo wa milango ya milungula na miamala, na hapo inategemea na usmart wako kichwani
Vipi Leo hamna mpyaa?Placement ziachiwe sasa naona tunajadili mishahara hatariiiii
Ahaa Asante kwa taarifaTutor wa Veta pia anachukua salary hii kwa maana basic
Mkuu,,, mapema yote hiii..!!!!.. tusubiri Hadi saa 6 usiku kama hamna kitu basi tutegemee January maana kesho weekend ni uongoVipi Leo hamna mpyaa?
Kuna dalili kubwa wakatoa leo au jumamos,,,,,barua zishaenda masijala ya wazi karibia zote ni kutangaza tu usishangae ukajikuta taasisi tamu kinoma kama ulipiga oral na kukosa nafasi kutokana na uchache ila ulifauluMkuu,,, mapema yote hiii..!!!!.. tusubiri Hadi saa 6 usiku kama hamna kitu basi tutegemee January maana kesho weekend ni uongo
Dah itakuwa Njema sana,tujue mbivu na mbichi kama tumefunga mwaka na Ajira mpya au lah.....Kuna dalili kubwa wakatoa leo au jumamos,,,,,barua zishaenda masijala ya wazi karibia zote ni kutangaza tu usishangae ukajikuta taasisi tamu kinoma kama ulipiga oral na kukosa nafasi kutokana na uchache ila ulifaulu
hii ya mishahara me inaniboa,umeomba kazi subiria upate ajira mshahara wako utaujua huko huko,kama utaona hakutoshi utafanya maamuzi yako sasaPlacement ziachiwe sasa naona tunajadili mishahara hatariiiii