weeeeKuna dalili kubwa wakatoa leo au jumamos,,,,,barua zishaenda masijala ya wazi karibia zote ni kutangaza tu usishangae ukajikuta taasisi tamu kinoma kama ulipiga oral na kukosa nafasi kutokana na uchache ila ulifaulu
Mkuu Makofia unavyotype kwa kujiamini utadhan kama uko pale PSRS labda hata kwa kujitolea😁😁Kuna dalili kubwa wakatoa leo au jumamos,,,,,barua zishaenda masijala ya wazi karibia zote ni kutangaza tu usishangae ukajikuta taasisi tamu kinoma kama ulipiga oral na kukosa nafasi kutokana na uchache ila ulifaulu
Ili tamko litafanya watu wawe wana refresh web kila baada ya dk 3😅😅😅😅 na kuongeza maombi kwa kasi ya juu.Kuna dalili kubwa wakatoa leo au jumamos,,,,,barua zishaenda masijala ya wazi karibia zote ni kutangaza tu usishangae ukajikuta taasisi tamu kinoma kama ulipiga oral na kukosa nafasi kutokana na uchache ila ulifaulu
😂😂😂Tusiishi kinyonge tupo kwe pambano zito mno wakati wa kuutua mzigo mzito unakaribiaMkuu Makofia unavyotype kwa kujiamini utadhan kama uko pale PSRS labda hata kwa kujitolea😁😁
Barua zipo tayari mzee kama unapitaga showroom ulizia kabisa bei ya subaruMkuu Makofia unavyotype kwa kujiamini utadhan kama uko pale PSRS labda hata kwa kujitolea😁😁
Sisi wengine tuliofanya mwezi wa 11 mwshoni, 12.. hapa Wala tusijisumbue😂😂😂Tusiishi kinyonge tupo kwe pambano zito mno wakati wa kuutua mzigo mzito unakaribia
Hii mada huwa sii changiagi kabisa sina experience na hizo salary mimi ninachoangalia na kuomba nikuuupata mrija tu mengine nitajuana nayo huko hukohii ya mishahara me inaniboa,umeomba kazi subiria upate ajira mshahara wako utaujua huko huko,kama utaona hakutoshi utafanya maamuzi yako sasa
kabisa,kama mshahara ukiona haukutoshi basi utafanya kazi kwa malengo then uacheHii mada huwa sii changiagi kabisa sina experience na hizo salary mimi ninachoangalia na kuomba nikuuupata mrija tu mengine nitajuana nayo huko huko
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]umenisaidia kusema
tukae kwa kutulia sioSisi wengine tuliofanya mwezi wa 11 mwshoni, 12.. hapa Wala tusijisumbue
Mimi Kuna jamaa namfahamu alitoka kwenye Taasisi Moja kwenda nyingine na hapo alikuwa na muda mchache tokea aanze kazi kwenye hiyo taasisi, but nmekuelewa boss, I'll take my chances nione itakuwaje.Kuitwa kwenye usaili ukiwa tayari mtumishi kwa maana tayari una check number itakuwa ni ngumu sana kwako ku switch hyo kazi. Kumbuka maombi uliyafanya kipindi ukiwa hauko kwenye system na hukuwa na kibali cha mwajili wako.
Pia, hata kama una kibali cha mwajili, kama ni mtumishi mpya huwa bado ni kipengele sana mpaka mwajili akuruhusu kuondoka.
Lazima uwe umeshafanya kazi Zaid ya mwaka nazani ndo unaweza kuhama na hapo Boss awe Hana uhitaji na wewe ndo anaweza kukupa ruhusa ya kuhama tofauti na hapo atasema nakuhitaji na huwezi hama bila barua yenye mhuli wake tofauti na hapo utatafuta matatizo tuKwani ukiwa na check no huwezi kuama Taasisi boss ?
Mimi Kuna jamaa namfahamu alitoka kwenye Taasisi Moja kwenda nyingine na hapo alikuwa na muda mchache tokea aanze kazi kwenye hiyo taasisi, but nmekuelewa boss, I'll take my chances nione itakuwaje.
Hapana boss, sikuidharau position ila tu sikutegemea kama kutakuwa na gape kubwa ya net salary kiasi hicho maana hapo gap ya net salary ya TA na customs officer inafika hata 600k+ and that's a lot mkuu.Hili swali lako limeniacha hoi kidogo, unahisi Custom officer ni kazi ya hadhi ya chini, sio?
Kwanini usifanye kazi Kwenye hiyo taasisi uliyopata.Huko mbeleni utaomba uhamisho.Hapana boss, sikuidharau position ila tu sikutegemea kama kutakuwa na gape kubwa ya net salary kiasi hicho maana hapo gap ya net salary ya TA na customs officer inafika hata 600k+ and that's a lot mkuu.
we mshukuru mungu ushapata kazi tulia ndugu mtaka yote kwa pupa hukosa yote waachie wenzio nafasi ushakua kwenye systemHapana boss, sikuidharau position ila tu sikutegemea kama kutakuwa na gape kubwa ya net salary kiasi hicho maana hapo gap ya net salary ya TA na customs officer inafika hata 600k+ and that's a lot mkuu.
Ina tegemea lakini kama ni masters za masomo ya science ni rahisi kupata scholarship mambeleWe ukifika tu hapo na kuzoeana na watu wa department yako waulize wale wenye masters na phd umesoma wapi ...ukiuliza kazi ya 10 lazima 6 au zaidi kati ya hao wengi watakujibu wamesoma mbele kama sio masters basi phd ....ni mara chache sana mtu (walimu wa vyuo vikuu) kusoma degree ya 1 bongo, masters bongo na phd bongo ni nadra sana. Nakuomba ukifika fanya utafiti na uje utupe ushuhuda humu
Yeah, ni kweli boss unayoyasema SEMA tu Taasisi nyingine huwezi omba uhamissho maana ofisi zipo sehemu Moja tu so option ni Moja TU ya kuhama, na ingekuwa otherwise huenda nsingewaza Hivi, Pia kuwa kwenye system is cool ila kupata mazingira mazuri ya kufanyika kazi ni coolest zaidi ndo maana watu wanahama Taasisi boss wangu.we mshukuru mungu ushapata kazi tulia ndugu mtaka yote kwa pupa hukosa yote waachie wenzio nafasi ushakua kwenye system