Kigoma Independent
JF-Expert Member
- Dec 18, 2017
- 3,519
- 2,055
Absolutely, Maisha yanatakiwa kuwa hivyo.That is life, na tunaendelea mbele tunaamini wakati ukifika haipingwi kabisa, tunajifunza kisha tunasonga....
Yeah Kaka we try our best level kupata mrija wa asali [emoji109]ASA/TARI ulikuepo boss?
Me naamini tutafika tu nia tunayo, uwezo tunao....on the way 2023 our year under blessingsYeah Kaka we try our best level kupata mrija wa asali [emoji109]
Amen na iwe hivyo[emoji120], Mungu ni wetu sote na anaona kila hatua ya mapambano tunayopitia, wakati wake ni sahihi sana kuliko matarajio yetu naamini tutafurahia sana. Tufanikiwe sote kaka.Me naamini tutafika tu nia tunayo, uwezo tunao....on the way 2023 our year under blessings
Kabisa, That is great. Uzuri mkuu mm nachokiamini haya ni mapito tunapitia ili utukufu wake ukadhihirike kupitia sisi na kuwapa moyo wengine, tumeona humu jf wengi wanakwambia since 2018 wanasaka mrija na leo hii wametoboa, that is reality of matter of time....Lets keep it up our day is coming,,,,,,hii pia itatufundisha namna ya kumtreat jobless na heshima ya kazi tutakayoipata. Naheshimu sana muda,,,, its matter of timr lets play our party God will bless us....on the way to 2023 year of success all of usAmen na iwe hivyo[emoji120], Mungu ni wetu sote na anaona kila hatua ya mapambano tunayopitia, wakati wake ni sahihi sana kuliko matarajio yetu naamini tutafurahia sana. Tufanikiwe sote kaka.
You nailed and said all. In the name of Almighty God, Amen.[emoji120][emoji3577]Kabisa, That is great. Uzuri mkuu mm nachokiamini haya ni mapito tunapitia ili utukufu wake ukadhihirike kupitia sisi na kuwapa moyo wengine, tumeona humu jf wengi wanakwambia since 2018 wanasaka mrija na leo hii wametoboa, that is reality of matter of time....Lets keep it up our day is coming,,,,,,hii pia itatufundisha namna ya kumtreat jobless na heshima ya kazi tutakayoipata. Naheshimu sana muda,,,, its matter of timr lets play our party God will bless us....on the way to 2023 year of success all of us
Tuliingia oral 50 ila mmoja hakuwepo tukawa 49 na nafasi 16,
Waliitarget mlemle,Ratio ilikuwa tamu sana 1:3.
hahahaa naanzaje kukosa sasaHata wewe una Aifoni, usizani hatujui[emoji3][emoji3][emoji3]
Doinge moja nzitoMliofanya practical ict TRA mtupe feedback
Kazi iendeleeDoinge moja nzito
Rakatarakataarekeketereketeerikitirikitiii.....rukuturukutuuuu!!!! Utumishi wanaperesuperesu saivi kwenye oral hiyo....Kuna ngumi inaitwa madiba ya just mention...Usiombe ikukute[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Kazi iendelee
Kwenye Orals zile points 5 sio kitotoRakatarakataarekeketereketeerikitirikitiii.....rukuturukutuuuu!!!! Utumishi wanaperesuperesu saivi kwenye oral hiyo....Kuna ngumi inaitwa madiba ya just mention...Usiombe ikukute[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Hii kitu inakata pumzi sana kk, nadhani pia hata utumishi huwa wanajipatiaga marks za bure kutoka kwa joblessKwenye Orals zile points 5 sio kitoto
Huwezi kuwa iphone user halafu ukawa jobless. [emoji1]Hivi wadau hii app ya Ajira portal kwa iphone users vipi ipo kweli? Kuna mdau anaulizia hapa ni iphone user Jobless[emoji28]
Dah[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Huwezi kuwa iphone user halafu ukawa jobless. [emoji1]
Utakuwa matatizo[emoji1]