Haha i hope wataniaHuwezi kuwa iphone user halafu ukawa jobless. [emoji1]
Utakuwa matatizo[emoji1]
Hahahaha pale ni kisanga at least pata hata 3Hii kitu inakata pumzi sana kk, nadhani pia hata utumishi huwa wanajipatiaga marks za bure kutoka kwa jobless
Naona unafufua makaburi😂😂[emoji2]
Wametoa program gan mkuu tusiokuepo tujipange vzrDoinge moja nzito
Mkuu ebu nielekeze namna ya kufika UDOM COLLEGE OF INFORMATICSDoinge moja nzito
Ukifika stand ya sabasaba Panda gari za kwenda Benjamin mkapa hospital mwambie konda akushushe informatics ni kituo Cha pili Baada ya kuingia geti la UDOM kituo Cha kwanza ni njiapandaMkuu ebu nielekeze namna ya kufika UDOM COLLEGE OF INFORMATICS
Utanikuta hapo nikikusimamia nikukande vizuri 🤣Ahsante sana mkuu
Hahah we ticha wa veta mamlaka ya kunikanda hunaUtanikuta hapo nikikusimamia nikukande vizuri [emoji1787]
Nishabadilishwa kitengo mkuu nakula maisha tu hapa makao makuu🤣🤣Hahah we ticha wa veta mamlaka ya kunikanda huna
Mzee baba sasa hivi umekua mkandajiNishabadilishwa kitengo mkuu nakula maisha tu hapa makao makuu🤣🤣
Kama umeshindwa kunikanda written prac hunigusiNishabadilishwa kitengo mkuu nakula maisha tu hapa makao makuu[emoji1787][emoji1787]
Maisha yanabadilika mkuu vip hujapigiwa simu job huko🤣🤣Mzee baba sasa hivi umekua mkandaji
Mzeee nimeweka router zote mbovu IP address hazifahamiki na ufanye configuration hapo sawa we njoo tu hivyo hivyo na matokeo ya written 🤣Kama umeshindwa kunikanda written prac hunigusi
Bado tunasubiria NECTA wafanye verification ya vyeti nadhani mpaka katikati ya January huko kuna wamba wameriport juzi kituo cha kazi ndio wanaweka usikuMaisha yanabadilika mkuu vip hujapigiwa simu job huko🤣🤣
Kikubwa subira tu mkuuBado tunasubiria NECTA wafanye verification ya vyeti nadhani mpaka katikati ya January huko kuna wamba wameriport juzi kituo cha kazi ndio wanaweka usiku
Tulishaanguka wino wa contract sasa sijui watamwaga maua au ndio watasubiria mpaka tuanza mzigo?Kikubwa subira tu mkuu
Hahhah daaah, halafu izi mambo za kuchukuliana powa humu, siku utakutana na mtu kutoka humu ni mkandaji meza kuu 😅😅halafu kwa bahat mbaya anakufaham na mmepandishiana sana humu. Wkandaji wa baadae haya mambo yana ongeleka. Tusamehane.Mzeee nimeweka router zote mbovu IP address hazifahamiki na ufanye configuration hapo sawa we njoo tu hivyo hivyo na matokeo ya written 🤣